sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Hongera zakeView attachment 2320845
View attachment 2320846
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.
Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.
Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.
Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
Baada ya hii helicopter ndio linakuja dege la kifahari sasaAiseee hongera zake
Hivi ile ndege imefika?
Kijana anatupa heshima sana watanzania. Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu.Hongera zake
Kwamba wewe ni zawadi kutoka kwa Shettani?Kijana anatupa heshima sana watanzania. Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Kama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tenaKwamba wewe ni zawadi kutoka kwa Shettani?
Acha kuonesha ujinga wako na kujivua nguoKama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tena
Sio zawadi kutoka kwa Mungu ni mwanadamu Kama wengine ktk uso wa ardhi na anayofanya anafanya kwa maslahi yake na vizazi vyake na wnaaomzunguka,Hana michango wowotw kwa siye wengine kwa kua anachofanya kwangu hakina athari yoyote Ile chanya au Hadi..Kama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tena
View attachment 2320845
View attachment 2320846
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.
Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.
Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.
Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
Ina maana ile ndege haikuwa kweliView attachment 2320845
View attachment 2320846
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.
Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.
Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.
Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
Pigia mstari kweli mzaliwa wa tandale vip kwenye ile nyimbo ya Kigoma all star alifata nini, any way nakutania tu mpiga zumari wa mond, Hongera kwake na Mungu wakeView attachment 2320845
View attachment 2320846
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.
Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.
Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.
Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
Sawa babalevoKama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye