Hata Vanny boy anayoKama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Vanny boy anayoKama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tena
Wivu wa kike hauna madharaAcha kuonesha ujinga wako na kujivua nguo
[emoji23][emoji23]Kwamba wewe ni zawadi kutoka kwa Shettani?
Mkuu hii "hedikopta ' mbona ina usajiri wa Uganda? 5X
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.
Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.
Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.
Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
🤣🤣🤣,Kumbe picha kapachika za mtandaoni!![]()
Mkuu unadhalilisha ukoo wenu ujue😀😀Kama unafikiri kuwa Diamond Platnumz ni kitu cha kawaida basi subiri siku hayupo itatuchukua miaka mingapi kumpata kama yeye tena