Diamond Platnumz ndio tajiri wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari

Diamond Platnumz ndio tajiri wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari


Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari.

Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila tajiri huyu mdogo sana kiumri mzaliwa wa Tandale anamiliki helicopter ya kifahari.

Helicopter hii ni maandalizi ya ujio wa ndege yake binafsi ya kifahari sana ambayo ni suala la muda itakuja kuwapa watu kisukari cha kupanda na kushuka.

Salute sana Diamond unatuheshimisha watoto wa uswazi.
Mkuu hii "hedikopta ' mbona ina usajiri wa Uganda? 5X
 
Habari za tajiri muulize masikini,

Kijana muda haumsubiri mtu,angalia tu usije ukawapa ndugu zako kazi ya kukuleo huko mbeleni...anyway lini tena utaleta thd ya kumponda Rayvanny?
 
Hivi vijana mmekuja kuwaje? Au ndo upungufu wa ajira,yani ww 24/7 unamsifia mwanaume mwenzio hujionei tabu ata ukapumzika kidogo?
 
Back
Top Bottom