Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Mond kwa mara ya kwanza anamuangusha Godfather maana nyimbo ni ya kawaida sna lkn kuna kituo kimoja cha redio kinaongoza kwa unafiki duniani wataipigia promo na air time ihite lkn ni song ya kawaida sna ambyo hwz kusklza zaid ya mara 2 na saiv tuko bssy na hbr za majipu

Mnyoosho unekuingiaaa
 
Mimi nimeuangalia zaidi ya mara 10jamaniiiiiiiii!!!!
Ghafla vicenti sina nimerudi tandaleeee

😩😩😩😩😩😩😩 jambo wewe, mi nimeadimika au wewe? Diamond ataniua huyu vichozi vimenitoka ati!
 
Huu wimbo unaniwazisha ntapokua tajiri mwaka kesho.........duuh sijui nikifulia mwaka 2050 #je utanipenda?
 
Get ready, on Friday dis week mkali wenu wa Afro pop anadondosha new hit song.

Chanzo: Diamond Platnumz Twiter A/C

...Updates...

Wimbo tayari umetoka.


Kali kuliko NANA hahahaaa....sorryyyy
 
Last edited by a moderator:
Platinum kaachia ngoma imesimama kwenye ukweli tuseme jamani.
 
Yaan huyu mondi anajua kumnyoosha kiba daaaaaa

Aaaaaaaah sana, sema ni kama kuuwa sisimizi kwa nyundo, huyo kiba ananyooshwa in the way tu kwasababu hizi sio level zake kabisa ni kumuonea
https://m.youtube.com/watch?v=q9l2ItDLsUk&itct=CG0QpDAYACITCPGL6M6X18kCFdW9HAodMWsCBTILYzQtb3ZlcnZpZXdaGFVDZXYtYi14eS1wNWZISzh4M3pKeW4xUQ%3D%3D&client=mv-google&gl=TZ&hl=en
 
Hii nymbo inawahusu weng sana ata kamanda wangu LOWASSA lakn mm bado NAMPENDAAAAAAAAAAGA.
 
1. Ni simulizi iliyobeba hofu ya watu wengi. Nisipokuwa na mali, nisipokuwa na kazi, nikipigika mtaendelea kunipenda, kunisifia, na kuwa karibu yangu kama sasa?


2. Imejitosheleza kimaishari. Mashairi yameshiba na ya kina tofauti na nyimbo nyingi za aina hiyo zenye mashairi ya kujirudia sana


3. Video na wimbo vimechukua uhalisia zaidi wa maisha yake kwa kuwatumia watu wake muhimu maishani wakiwemo mama yake Sandra, mchumba wake Zari, mwanae Tiffah, mameneja wake na wengine


4. Ni Bongo Flava halisi (yenye vionjo vya pwani) ambayo kwa ukubwa wake inakuwa na maana zaidi kwa sasa kufanya nyimbo za aina hiyo ili kuitangaza kimataifa kutokana na ukubwa wake Afrika na duniani kwa ujumla.


5. Wimbo umetumia asilimia 100% Kiswahili. Hii inawafanya wengi wasioelewa Kiswahili kuhangaika kukijua walau kidogo na matokeo yake ni kuwa lugha inasambaa zaidi


6. Imeleta utamu wa kutumia mastaa wengine wa kibongo kwenye video kubwa (cameos). Ndani wameonekana mastaa kama Mwana FA, Shaa, Chege, Master Jay, Harmonize, Wolper


7. Kawakumbuka mashabiki wake waliokuwa wakijitokeza uwanja wa ndege kumpokea kutoka kwenye tuzo


8. Unaweza kuingia mkwanja kwenye video yako pia. Dr Mwaka na kliniki yake imepunguza gharama alizotumia kumlipa Godfather


9. Unaweza kumtumia ex wako pia kama video queen.. no hard feelings!! Vipi kuhusu Sepetunga lakini?


10. It?s a brilliant video and a masterpiece!!

U killed it Bro! This Is How GT We Always Think.
 
Back
Top Bottom