Diamond platnumz ni mhuni sugu,ameshindikana.

Hawa mademu Co kwamba wanapenda kuchezewa Bali wanajaribu bahati zao kwa mondi lakini jamaa bado haaminiki,but ngoja tuone wiki ijayo ataibuka nani tena,maana kila kukicha anaibuka mwingine,listi inaongezeka,kumbuka the latest ni tanasha Donna.
 
Mpaka nafika page ya tano hakuna picha ya Natasha
 
Naomba utengue kauli iliyojumuisha wanaume wote... mbona tunadharirishana?
 
Muziki wa Diamond unahitaji "kiki" akiacha kufanya hivyo kwisha kazi...ndio maana wananunua media zote wapigwe wao..Clouds katosa wamekuja na konki konki
 
Ucha ujinga tafuta hela hayo ni yake wewe hayakuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…