Kwai mpaka iwe ya kwake inatakiwa iwe kwa namna IPI? mm nnavyojua ana hisa za asilimia 45 pale...hii inatosha kabisa kumuita ni mmoja wa wamiliki na kampuni zinazomilikiwa 100% na mtu mmoja hapa duniani ni chache sana hata Facebook mark anamiliki asilimia kadhaa tu,Microsoft Bill gates anamiliki share ya asilimia kadhaa tu,hata E media Majzo anamiliki asilimia kadhaa tu...chuki zisiwafanye mjitoe ufahamu mtachekwa kwa watu wanaoelewa meaning of share holding[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] khaaaah Kwan wasafi ni ya kwake? Hihihihihihihihihihih
Sent using
Jamii Forums mobile
app
hahaaah ndiyo mi ni maskini mkuu na ninatafuta ajira ndiyo...nimepanga kama huyo boss wako unaemsifia alivyopanga kwenye nyumba za watu.Huyo aliye too much faking ana 45% share... wewe unazo ngapi?!
Anyway, baada ya kupitia posts zako nimekuta ndo kwanza unaomba usaidiwe kupata kazi ya ualimu!!
Kumbe unasumbuliwa na wivu unaotokana kukosa hata kazi ya kufanya!!
Ngoja nikupuuze, manake hakuna uendawazimu kama kubishana na mtu wa aina yako!!
hahaaah ndiyo mi ni maskini mkuu na ninatafuta ajira ndiyo...nimepanga kama huyo boss wako unaemsifia alivyopanga kwenye nyumba za watu.Huyo aliye too much faking ana 45% share... wewe unazo ngapi?!
Anyway, baada ya kupitia posts zako nimekuta ndo kwanza unaomba usaidiwe kupata kazi ya ualimu!!
Kumbe unasumbuliwa na wivu unaotokana kukosa hata kazi ya kufanya!!
Ngoja nikupuuze, manake hakuna uendawazimu kama kubishana na mtu wa aina yako!!
Inaelekea una elimu ndogo sana aisee..hebu tulia uelekezwe basi maana kwa comment yako hii nimegundua hujawahi kuwa na rafiki,jirani,ndugu,jamaa au MTU yoyote was karibu yako mwenye kampuni! angekuwepo usingeendelea kuonyesha ujuha wako hapakumbe ana 45%..mi nilidhani zote 100%
zake coz alikuwa anajitapa kuwa anaanzisha media yake kumbe sio
yake??
Huyo aliye too much faking ana 45% share... wewe unazo ngapi?!
Anyway, baada ya kupitia posts zako nimekuta ndo kwanza unaomba usaidiwe kupata kazi ya ualimu!!
Kumbe unasumbuliwa na wivu unaotokana kukosa hata kazi ya kufanya!!
Ngoja nikupuuze, manake hakuna uendawazimu kama kubishana na mtu wa aina yako!!
Pole sana, maisha umeyakosea mwenyewe, sasa unamlilia lilia nani hapa!!hahaaah ndiyo mi ni maskini mkuu na ninatafuta ajira ndiyo...nimepanga kama huyo boss wako unaemsifia alivyopanga kwenye nyumba za watu.
kwa heri mkuu,nisije nikawa nabishana na kina juma lokole..we kuanzia lini umeona kidume kizima kinasimama kumsifia mwanaume mwenzie??..kinatoa mpaka mipovu kabisa😂😂😂
Mwenzako kapanga alafu ana nyumba nyingi anamiliki ana ile ya madale ambayo kampa mama yake mzazi,ana ile ya South kawapawa watoto wake waishi na mama yao ana nyumba zingine kapangisha anachukua Kodi uoni tofauti yako na yeye.Na hiyo aliyopanga kapanga mission maalumu ili awe karibu na ofisi yake ya wasafi media.hahaaah ndiyo mi ni maskini mkuu na ninatafuta ajira ndiyo...nimepanga kama huyo boss wako unaemsifia alivyopanga kwenye nyumba za watu.
kwa heri mkuu,nisije nikawa nabishana na kina juma lokole..we kuanzia lini umeona kidume kizima kinasimama kumsifia mwanaume mwenzie??..kinatoa mpaka mipovu kabisa😂😂😂
Man, yaani JF sometimes mtu unalazimika kuangalia background za wachangiaji ili usiumize kichwa!! Sasa jamaa anamponda mtu mwenye Hisa za TV kwa 45% wakati mwenyewe hata kazi hana... ndo kwanza anaulizia JF watu wamuunganishie kazi!!🤣🤣🤣🤣🤣we jamaa bana umenichekesha sana, kwamba umemfuatilia msela mpaka posts zake ili ujue ni mtu wa aina gani
Sent using Jamii Forums mobile app
we endelea kusifia wanaume wenzio juma lokolePole sana, maisha umeyakosea mwenyewe, sasa unamlilia lilia nani hapa!!
naona nimevamiwa na kina juma lokole...kidume kizima kinaorodhesha mali za mwanaume mwenzie😂😂😂😂😂Mwenzako kapanga alafu ana nyumba nyingi anamiliki ana ile ya madale ambayo kampa mama yake mzazi,ana ile ya South kawapawa watoto wake waishi na mama yao ana nyumba zingine kapangisha anachukua Kodi uoni tofauti yako na yeye.Na hiyo aliyopanga kapanga mission maalumu ili awe karibu na ofisi yake ya wasafi media.
Huyo alivyo na akili fupi na double standard bilgate ana sema Ni mmiliki wa software wakati mwenye share kubwa Ni Steve balmer, mark Zuckerberg wanamwita Ni mmiliki wa fb lakini ana share ndogo 25% lakini diamond anamiliki 45% wanasema sio mmiliki duh yaani bongo kwa chuki siwaweziPole sana, maisha umeyakosea mwenyewe, sasa unamlilia lilia nani hapa!!
nafahamu vizuri kuwa kampuni huwa haimilikiwi na mtu mmoja sheria hairuhusu....huyo diamond hata sheria ingeruhusu asingeweza na hana hela ya kuanzisha kuimiliki kampuni ya wasafi media peke yake...wenzie wenye hela kweli za kuanzisha na kumiliki makampuni huwa wanaanzisha kampuni na shares wanakuwa ni wanafamilia hii ni loophole kwenye sheria inayomfanya mtu amiliki kampuni yake ndugu anawatumia kama chambo tu kutimiza matakwa ya sheria Eg wakina dewji na makampuni yao na wakina bakhresa hii ndo njia waliyoitumia kuanzisha makampuni yao...sasa njoo hapa uniambie kati ya mimi na wewe nani yupo deep na anajua haya mambo vizuriInaelekea una elimu ndogo sana aisee..hebu tulia uelekezwe basi maana kwa comment yako hii nimegundua hujawahi kuwa na rafiki,jirani,ndugu,jamaa au MTU yoyote was karibu yako mwenye kampuni! angekuwepo usingeendelea kuonyesha ujuha wako hapa
sawa na wewe endelea kusifia wanaume wenzio..huenda ushaolewa baada ya kuwasifia so hapa upo kutetea ndoa yakoAcha kujichekesha chekesha wewe, utaolewa dogo... mtu mwenyewe watu wameshakushitukia kwamba choka mbaya, halafu bado unajichekesha chekesha!!!
Man, yaani JF sometimes mtu unalazimika kuangalia background za wachangiaji ili usiumize kichwa!! Sasa jamaa anamponda mtu mwenye Hisa za TV kwa 45% wakati mwenyewe hata kazi hana... ndo kwanza anaulizia JF watu wamuunganishie kazi!!
wewe huyo mwanaume unaemsifia kashakuoa???Narudia, maisha umeyakosea mwenyewe, sasa unamlilia lilia nani JF?! Au unataka mume wa kukuhifadhi?!
wewe ushaolewa???Narudia, acha kujichekesha chekesha na kujiliza jiliza, utaolewa!
Kwa chuki zako hizo ndo maana huna kazinaona nimevamiwa na kina juma lokole...kidume kizima kinaorodhesha mali za mwanaume mwenzie😂😂😂😂😂
Me sijui vingine hapo ila mofayaWrite your reply...NDO MAANA NAMKUBALI MFALME YEYE ANA BUGATI MBILI NA MAHOTELI HAZI YA NYOTA TANO MOJA LIPO KENYA MOJA LIPO TZ NA WALA HUMSKII HAKIYAZUNGUMZIA SABABU HAPENDI KUNYIONYESHA
NA ZA CHINICHINI NI KWAMBA KINYWAJI CHA MOFAYA NI CHAKE PAMOJA NA KIWANDA CHAKE SEMA AMEWAKATAZA WALIWEKE WAZI HILO UONGOZI MZIMA HVYO AKAAMUA AJIFANYE BALOZI SABABU HAPENDI SHOW OFF NA AMEKATAZA MEDIA WALIZUNGUMZIE HILO
Mkuu waambie wakasome BUSINESS LAWKwai mpaka iwe ya kwake inatakiwa iwe kwa namna IPI? mm nnavyojua ana hisa za asilimia 45 pale...hii inatosha kabisa kumuita ni mmoja wa wamiliki na kampuni zinazomilikiwa 100% na mtu mmoja hapa duniani ni chache sana hata Facebook mark anamiliki asilimia kadhaa tu,Microsoft Bill gates anamiliki share ya asilimia kadhaa tu,hata E media Majzo anamiliki asilimia kadhaa tu...chuki zisiwafanye mjitoe ufahamu mtachekwa kwa watu wanaoelewa meaning of share holding