Diamond Platnumz: Nimenunua hoteli Mikocheni na gari ya ndoto yangu Rolls Royce

Diamond Platnumz: Nimenunua hoteli Mikocheni na gari ya ndoto yangu Rolls Royce

Mtu akijajua maana ya neno "usanii hawezi kuwa na maneno maneno na matendo ya wasanii". Haya yote mbona kila sehemu yanafanyika...hata kina Jay Z, Chris Brown, Rihana, Drake n.k huweka wazi baadhi ya mambo yao mfano, mahusiano, maisha yao kwa ck labda wanatumia sh. Hii yote ni kujibrand na kuadd value ya msanii ktk kazi zake. Sasa kwetu ss hapo BONGO unakta mtu anasema yann amefanya haya yote kututangazia? Hiyo ni life style ya msanii, ww ktk maisha ya leo ukiona jambo huoni thamani yake "MUTE" fanya yanayokuhusu ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu nae huwa ana fake maisha kupitiliza,wanafanya vijana waone kuwa wamechelewa sana kitu ambacho si kweli mwisho wa siku vijana wanaingia kwenye vitendo ovu ili nao wapate mali...too much faking yaani...vijana wenzangu tusipaniki na haya maigizo,huyu nae anaishi kwenye nyumba za kupanga kama sisi tu
Mkuu kama kuna kijana anaingia kwenye hvyo vitendo nadhani uwezo wake mdogo tu, kama haya ya huyu dogo ni kweli basi na sisi yiendelee kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi hajatangaza utaratibu wa kuwalipia kodi, mi nkajua interview ilikua ya kutangaza utaratibu kama ilivyosemwa,.

Sasa mbona habari Kubwa imekua ni Ya Hotel na Gari, Alafu misukuale yake Inashangilia, Kasema kamaliza tofauti yake na Mzazi mwenzake hapa misukule Imenuna, Jana misukule ilishupaza shingo kumchamba zari jamaa kapiga simu kajishusha wayamalize..

Mambo ya Kununua Magari na mahotel yanatuhusu nini Misifa tu na kutafuta kutrend, Babako analala nyumba ya tope we unatangaza kununua Mahotel, pimbiz na kengez zinashangalia na kufurai wakati hata baisker hazina
Kutumia serikali za mitaa pia ni utaratibu.
 
nakubali kwamba kiume amegundia kwamba alipuyanga ,mpaka akaamua kwa hiyari yake kupiga simu kwa mzazi mwenzie.

hayo mengine anastahili,na ingekuwa ajabu kutokuwa navyo.

msaniii useme una hela,huna RR,rambo wala ferali utakiwa inatuzingua,hongera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom