DIAMOND PLATNUMZ PUNGUZA KIKI

TATIZO MNAPENDA VYA BURE!
 
We hata hujui unakurupukia tu.... mbona tar alitaja? Lawama kibao kumbe ufuatiliaji zero... haya subiria ukaripie kingine maana ni tar 17-19 mzee baba
 
Birthday ya Tee ni tareh 6/8 so endelea kusubiri
 
Nakumbuka alijitangaza kuwa atashiriki kuimba katika ufunguzi Wa WORLD CUP, lakini Mimi binafsi sikumuona , sijui kama wenzangu mlibahatika kumuona, Mimi nilimuonak kavaa KIKUKU wanachovaa kina Dada na MAJUNYA mguuni !!
 
Na ww kulipia kifurushi cha miezi 5 then useme hapa ni kiki
 
kiki nyingi walisema amenunua nyumba kijiji mwananamala, eti atanunua helkopta kama a gwajima, haikuonekana, eti aajenga msikiti mkubwa tandale nalo hili sijui lipo?
 
Umbea ndio umekufanya ukalipia hicho kifurushi cha miezi mitano
 
kiki nyingi walisema amenunua nyumba kijiji mwananamala, eti atanunua helkopta kama a gwajima, haikuonekana, eti aajenga msikiti mkubwa tandale nalo hili sijui lipo?
Watu mnamfuatilia sana, inaonekana anaaffect maisha yenu,
 
Hayo yote sawa ila hii kiki ya kunyoa voooz na kutangaza daaah!!!! Kuna siku atatuonesha akiwa anapupu huyu mtu
 
mtoa mada acha ubwege, ule wimbo ulikuwa kwa ajili ya coca cola na sio FIFA world cup..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…