cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Please naomba mni beep tickets zikianza kuuzwa, nami najipanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona naona comments zako zinaonyeasha umepanic sana!Na hayo matimu ushuzi watajikuta wameingia watu 10 tu.
Acheni hayo matimu ushuzimbona naona comments zako zinaonyeasha umepanic sana!
Kwani ile ya mlimani city kipindi kile aliandaa na nani?
Nimecheka sanaDiamond akianza kuandaa matamasha yake mwenyewe,Ruge atakufa kwa presha.
utatoa povu sana ila haya mambo ni toka zamani enzi hizo za akina 2pac OmAcheni hayo matimu ushuzi
Mwisho wa 2pac na B.I.G nadhani unaujua?utatoa povu sana ila haya mambo ni toka zamani enzi hizo za akina 2pac Om
Mbona ipo teambreezy ya chris brown na anatupaga s.o sana kwny social networks, haya mambo ya team n kawaida kwny game hata uko mbele n ukileta ujinga kwa msanii wao wanakunyoosha na izo team zina majina special km iviMwisho wa 2pac na B.I.G nadhani unaujua?
umeshawahi kuona team chris brown?
Nampenda sana mtu kana Barnaba boy anapambana na hali yake mwenyewe sio kupambana na hayo matimu ushuzi.
Diamond akianza kuandaa matamasha yake mwenyewe,Ruge atakufa kwa presha.
Mbona ipo teambreezy ya chris brown na anatupaga s.o sana kwny social networks, haya mambo ya team n kawaida kwny game hata uko mbele n ukileta ujinga kwa msanii wao wanakunyoosha na izo team zina majina special km ivi
Beyonce (bey hive)
Rihanna (rihanna navy)
Nick minaj (barbz)
Selena gomez (selenators)
Justin beiber (beliebers)
Taylor swift (swifties)
Ariana grande (arianators)
Katty perry (katcats)
Uzuri wa team za wenzetu msanii akitoa nyimbo, album au product yoyote wana toa support ya kutosha na wananunua icho kitu au kwnd kwny tamasha tofauti n izi za kibongo wao wanajua kutukana tu, hao team wema star wao anazisha kila biashara mara lipstick, sendo zina buma kwasababu hawatoi support Na hawa team kiba ndo hamna kitu kabisa kazi kutunga story za uongo
Live si bora niende njenje kwa sauti ile ya dai si nitaharibu siku yangu jamani?Hapana aisee,inabidi iwe 50,80 na vip laki na nusu had 2
Venue iwe mlimani city au alike
Show iwe ya live band
Waiite wasafi night,wapige show wenyewe tu kutoka label yao
Kukiwa na waalikwa basi wawe wachache sana eapecially walioshirikiana nao kwenye collabo
Hiyo tarehe anakuwa free,ndio maana wameipanga hivo.Mbona kuna uzi ulikua unazunguka humu kuwa Diamond hatafanya show Tz hadi mwakani....ratiba iko busy mno