Diamond Platnumz sasa wanamuita Sheikh Mansoor

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066


Diamond Platnumz ambae ni msanii namba moja Africa. Hatimaye amepewa jina jipya kwa sasa anaitwa aka Sheikh Mansoor. Wakimfananisha na tajiri mmiliki wa Manchester City

Ameuanza mwaka sasa yajayo yanafurahisha.

Haya sasa vifaranga tokeni bandani mtembee na upepo wa mwenye nyota zake za kutosha..

BTW; wataalam wa macho ya rohoni mnakiona kiganja icho??😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…