sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
ila we jamaa ππNamba moja ya NYOKO
kimefanyaje mkuu
Hiyo ni ishu deep ipo spiritual zaidi sio rahisi kuelewa.kimefanyaje mkuu
kwa ufupi kidogo basi mkuuπHiyo ni ishu deep ipo spiritual zaidi sio rahisi kuelewa.
Sasa mkuu unauliza maswali alafu ujajibiwa unajijibu hapana...tukusaidiaje?Namba moja Afrika kwa lipi hasa? Kimuziki, hapana. Kipesa, hapana! Kwa lipi? Na hiyo crown kampa nani?
Sio kila siku linahitaji kusubiri jibu!Sasa mkuu unauliza maswali alafu ujajibiwa unajijibu hapana...tukusaidiaje?
Spiritual gani hiyo ndiyo mnadanganyana hapo mwandinga! πππHiyo ni ishu deep ipo spiritual zaidi sio rahisi kuelewa.
Mtafute mshana ilo somo ni pana linaitaji muda.kwa ufupi kidogo basi mkuuπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mtu kavurugwaa vibayaa mnoo.Hayo mambo lukuki anayofanana na huyo sheikh ni yapi?
Wewe bado mtoto kwenye dunia huwezi elewa ndio maana unabeba mabegi ya mnyika endelea kukomboa nchiSpiritual gani hiyo ndiyo mnadanganyana hapo mwandinga! πππ
Una tatizo la afya ya akili kigagula nenda ukakanyage mafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mtu kavurugwaa vibayaa mnoo.