Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
πππ.....ngoja tusubiri ufafanuzi mlongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mtu kavurugwaa vibayaa mnoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ.....ngoja tusubiri ufafanuzi mlongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mtu kavurugwaa vibayaa mnoo.
Kufanya sajili ya kitenge toka iefuem kwenda wasafi πππHayo mambo lukuki anayofanana na huyo sheikh ni yapi?
Oohh kumbe.........Kufanya sajili ya kitenge toka iefuem kwenda wasafi πππ
Ukishainvest kwenye roho mbaya unageuka mchawi bila kijijua.Kufanya sajili ya kitenge toka iefuem kwenda wasafi πππ
Wana Africa ndio wamembatiza.Wanamuita au anajiita?
NImekosea mkuu, au sajili gani kafanya??Ukishainvest kwenye roho mbaya unageuka mchawi bila kijijua.
Bahati mbaya wewe kila kitu unakiona kwa mara ya kwanza insta.Lakini hilo jina kajipa mwenyewe kwenye IG yake leo asubuhi.
Hahahaha yule chawa alipoteleaga wapi?Dogo inno bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo huyu-huyu πHahahaha yule chawa alipoteleaga wapi?
Mataga wa Wcb hapa tayari umeshapanic πWewe bado mtoto kwenye dunia huwezi elewa ndio maana unabeba mabegi ya mnyika endelea kukomboa nchi
Eti ngedere πππUnamfananisha sheikh mansour na huyu ngedere waadale ? Hivi unamjua sheikh mansour wewe?
Dogo Inno huyo anaandika akiwa Mwandinga πππduh aiseeee
Hadi Mama ake naye itabidi abadili jina aache lile la Dangote ahamie ili jipya la bwana mpya πNamba 1 halafu unatumia majina ya maarufu, huo niupungufu wa akili.
Namba moja wa kitu gani?View attachment 2592858
Diamond Platnumz ambae ni msanii namba moja Africa. Hatimaye amepewa jina jipya kwa sasa anaitwa aka Sheikh Mansoor. Wakimfananisha na tajiri mmiliki wa Manchester City
Ameuanza mwaka sasa yajayo yanafurahisha.
Haya sasa vifaranga tokeni bandani mtembee na upepo wa mwenye nyota zake za kutosha..
BTW; wataalam wa macho ya rohoni mnakiona kiganja icho??π
Kwelii nimeona M- pesa kumbe ndo maanakiganja icho