Huo Ndio uanaume wenyewe, hata ukikutwa kitandanii Mwambie Ilikuwa haijaingia bado, mwisho wa Cku mkeo atakuamini tu!kwa sisi wahenga ambao tunaenda club zinazopiga oldies, kuna ngoma ya Shaggy inaitwa it was not me, Hahahaha! ukiwa Player hata ukikutwa eneo la tukio unatakiwa kukataa kwamba huhusiki[emoji63]
Hivi mtu unaweza kurisk hivyo? Kwani unaweza kuta ni ARV za MadavidaUsidanganyike mkuu , siku hizi kuna ARV's ambazo wamama wanazitumia wakati wananyinyesha. Kwa hili la sukari ya warembo hata mimi sifahamu
Sifahamu kama bongo zimefika, nilisoma jarida kuwa USA wameanzaHivi mtu unaweza kurisk hivyo? Kwani unaweza kuta ni ARV za Madavida
Una uhakika amemtenga?Maisha ya Diamond unayajua zaidi ya kumuona insta?Ana mtoto lakin kumtenga huko kubaya vingine kama mwanaume ni kukaa kimya tu akikuwa mtoto wake yule atajisikiaje kwa hayo manyanyaso? wengi tunachakaza mademu bila kupiga saund ila kujisifia ni mwiko.
Umenielewa niliposema ARV za Madavida?Sifahamu kama bongo zimefika, nilisoma jarida kuwa USA wameanza
Nimekuelewa mkuuUmenielewa niliposema ARV za Madavida?
Mi siyajui unayajua wewe tuambie sasa unaelala nae sisi wa insta tuyajue zaidiUna uhakika amemtenga?Maisha ya Diamond unayajua zaidi ya kumuona insta?
Hakuna kituko hapo mana ndo ukweli na kishausema!!! Tena kausema 'internationally', hahahaaaa, inauma nyie acheni tu!!amdanganye tukinao hukohuko chumbani akisema adharani ni kituko lol
Mbona unamhukumu kama huyajui? Hizo ni tabia za kike wanaotafuta maisha kwa kujilengesha ili apigwe mimba kama na wewe unataka kupigwa mimba shauri yako...[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Mi siyajui unayajua wewe tuambie sasa unaelala nae sisi wa insta tuyajue zaidi
she caught me on camera (wasnt me)kwa sisi wahenga ambao tunaenda club zinazopiga oldies, kuna ngoma ya Shaggy inaitwa it was not me, Hahahaha! ukiwa Player hata ukikutwa eneo la tukio unatakiwa kukataa kwamba huhusiki[emoji63]
Koloni lake tangia 2003Hamisa ilikuwaje?
Ubarikiwe na uwe na siku njemaNimekuelewa mkuu
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu...huyu jamaa alishakataliwa na baba yake mzazi sasa dhambi ile bado inaendelea kuutafuna uzao wake.Ana mtoto lakin kumtenga huko kubaya vingine kama mwanaume ni kukaa kimya tu akikuwa mtoto wake yule atajisikiaje kwa hayo manyanyaso? wengi tunachakaza mademu bila kupiga saund ila kujisifia ni mwiko.
Tulikumiss sana ikabidi tukutoe mafichoniNini kinaendelea?
HAHAHAHAHA umeumia sana najua pole sana.....Du bi Tukinao unapakwa mafuta