Diamond platnumz wa zaman na wasasa mungu anakuona ujue

Kwa wale wapenzi wa burudani watakuwa sio wageni na pichaa hii ya fiesta morogoro 2012 ilisambaa sana kwenye mitandao sema wengi mlikuwa primary
Kumbe diamond anajichubua? Angalia miguu yake na sura yake vilivyotofautiana wakati kila siku amevaa suruali.
 
Ushamba wake mwache kubadil ualisia ni ushamba mkubwa Angekuwep Michael Jackson angeuliza faida ake
 
Du pesa kwel ni sabun ya roho
Leo hii diamond akiziona hzo
Picha za zaman nahic huwa anakasirika balaa
 
Mbona yupo vilevile labda kuongezeka mwili tu, ana rangi hiyohiyo ya ngozi. Usidanganywe na picha za siku hizi kamera zina quality kubwa, na pia kuna filters
 
anajichubua kwani manzi wa siku hizi wanapenda vitu ng'aring'ari bila hivyo nyapu hupaati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…