Diamond Platnumz

Diamond Platnumz

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
Imeisha iyo dingiii.
Uzi tayari.
@ChaliiYaKijengeJuu.
 

Attachments

  • chibu.png
    chibu.png
    29.9 KB · Views: 49
  • chibudee.jpg
    chibudee.jpg
    36.7 KB · Views: 45
Imeisha iyo dingiii.
Uzi tayari.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Alama yoyote ile maana halisi unaipa wewe,ukweli ni kwamba hakunaga nguvu ya alama ila tafsiri zetu ndivyo mara nyingi huwa za ovyo.666 mnasema ni freemasoni kwa hiyo mimi nikijiandikia alama hiyo kwenye duka langu mtasema freemason.inaitwa nguvu ya imani imani bwana acha tu
 
Chalii unayumba.

Alama ya kwanza kufanya hvo vidole (kishule shule) ilikuwa tunaifanya kama kumfunga mtu ajisahau. Nikimaanisha kwamba, kama Leo nmechelewa / sikufanya exercise fulani basi nikifanya hivo ticher wa hilo somo atasahau kunitia stick / kunikagua.
Kwenye hiace ukifanya hivo konda atasahau kukudai nauli.
 
Wasanii wa Marekani hutumia alama hiyo kuwakilisha W ikiwa na maana ya WEST (West side) kama mahali walipotokea. (Rejea East & West Side Hip Hop Fued)
 
Hizo ishara ningezionesha mimi wadau wangesizi, ila kaonesha diamond ambaye ni star watasema tu jamaa ni agent wa illuminant
 
Alama ina wakilisha W,tupac alikuwa anaitumia kuwakilisha West side na Diamond W inawakilisha Wasafi.
images (9).jpeg
images (8).jpeg
images (7).jpeg
 
Chalii unayumba. Alama ya kwanza kufanya hvo vidole (kishule shule) ilikuwa tunaifanya kama kumfunga mtu ajisahau. Nikimaanisha kwamba, kama Leo nmechelewa / sikufanya exercise fulani basi nikifanya hivo ticher wa hilo somo atasahau kunitia stick / kunikagua. Kwenye hiace ukifanya hivo konda atasahau kukudai nauli.
Kwenye Avatar yako nawewe mamalai ulikua umeweka iyo alama ila saiv umebadilisha.!!Anyways ni sawa nimekumanya,Swali langu nilkua najiuliza mbona anapendaga ku'show that sign most of the time??
 
Chalii unayumba. Alama ya kwanza kufanya hvo vidole (kishule shule) ilikuwa tunaifanya kama kumfunga mtu ajisahau. Nikimaanisha kwamba, kama Leo nmechelewa / sikufanya exercise fulani basi nikifanya hivo ticher wa hilo somo atasahau kunitia stick / kunikagua. Kwenye hiace ukifanya hivo konda atasahau kukudai nauli.
Hivi ni kweli maana Mama mwenye Nyumba ananidai Moneygram zake,So nikimwonesha iyo Sign ntamfunga asinidai et eeh??
 
Kwenye Avatar yako nawewe mamalai ulikua umeweka iyo alama ila saiv umebadilisha.!!Anyways ni sawa nimekumanya,Swali langu nilkua najiuliza mbona anapendaga ku'show that sign most of the time??
Me niliweka lini jamani?
Maybe ni pose zake tu, i can't judge
 
Chalii unayumba.

Alama ya kwanza kufanya hvo vidole (kishule shule) ilikuwa tunaifanya kama kumfunga mtu ajisahau. Nikimaanisha kwamba, kama Leo nmechelewa / sikufanya exercise fulani basi nikifanya hivo ticher wa hilo somo atasahau kunitia stick / kunikagua.
Kwenye hiace ukifanya hivo konda atasahau kukudai nauli.
Haka kalikuwa katabia kangu shule ya msingi ilikuwa kuna mti mkubwa sana shule yetu ilikuwa na uzio hakuna habari ya kuhesabu namba.
.
Sasa huo mti ndio ulikuwa uchawi wetu yani unatafuta tawi liliokaa kama kipago cha manati unachana mpaka mwisho ukikatika tu vibaya basi kichapo utakacho kwenda kukutana nacho utakisimlia na iliwahi kufanya kazi siku moja lakini zingine zote nilikuwa nachana vizuri ila kichapo kiko palepale 😂😂
 
Haka kalikuwa katabia kangu shule ya msingi ilikuwa kuna mti mkubwa sana shule yetu ilikuwa na uzio hakuna habari ya kuhesabu namba.
.
Sasa huo mti ndio ulikuwa uchawi wetu yani unatafuta tawi liliokaa kama kipago cha manati unachana mpaka mwisho ukikatika tu vibaya basi kichapo utakacho kwenda kukutana nacho utakisimlia na iliwahi kufanya kazi siku moja lakini zingine zote nilikuwa nachana vizuri ila kichapo kiko palepale 😂😂
Hahaaa mambo ya imani muda mwingine yanaenda ndivyo sivyo
 
Kwa ufahamu wangu hiyo alama ni "W", ikiwa na maana ya West. Wasanii, fans au wadau wengi wa kutoka California nimeona wanaonyesha hiyo.
 
Back
Top Bottom