ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Haya haya....Hajawahi kuniangusha Diamond Platnumza kwa kila ngoma mpya ambayo huwa anaitoa! Pamoja na kuwa huwa zinapigwa vita sana lakini huendelea kutamba kadri siku zinavyo kwenda! Kama kawaida yake wimbo huwa kama haueleweki mwanzoni lakini mwishowe utaona kila mtu ana uimba either kwa kupenda au kuto kupenda
Najua Baada ya Diamond Kesho kuliamsha Dude basi Na wengine Watafuata siku kadhaa mbele kuachia Nyimbo zao! Makinikia yamepita,Bashite amepita,Roma Nafundisha primary sasa ni wakati wa Ngoma nzuri!!
Diamond kamshirikisha nani...?? Kaimba na nini? Wapi? Kideo Vipi mamboa yote ni kesho
Kifupi Kesho Diamond platnumz Analiamsha Dude!
Najua Baada ya Diamond Kesho kuliamsha Dude basi Na wengine Watafuata siku kadhaa mbele kuachia Nyimbo zao! Makinikia yamepita,Bashite amepita,Roma Nafundisha primary sasa ni wakati wa Ngoma nzuri!!
Diamond kamshirikisha nani...?? Kaimba na nini? Wapi? Kideo Vipi mamboa yote ni kesho
Kifupi Kesho Diamond platnumz Analiamsha Dude!