Diamond Platunumz kuliamsha dude kesho

Diamond Platunumz kuliamsha dude kesho

Asa dude likiamka we si ndio utakua wa kwanza kulilaza au
 
Nilizani analiamsha DUDE kweli kwa kuhama chama cha kijani na njano....kumbe bado anaamsha viuno vyake
 
Tangu meneja wa Diamond amzimie mic kule Mombasa, Ali kiba bado ana majonzi. Swali lake bado hajajibiwa, meneja wa Diamond alifuata nini kule?
 
chibuuuuuuuuuuuuuu Ni bonge moja la ngoma huyu ndo chibu tuliemzoe kwenye nyimbo za kulalamika Wadau ni bonge moja la ngoma najua litatikisa Africa nzima
 
source ya taarifa....sio kutoa attention kwa watu bila ushahidi...
 
Lakini mbona mnatuonea hivi?
Wakati wa vyeti vya Bashite huyu huyu CHIBUPAFYUM Alitoa dude mara anasema ACHA AKAE KIMYA MAMA KAMWAMBIA, tukashtukia Vyeti vinaachwa hivi hivi
Leo hii Tumehaidiwa NOAH toka magogoni ati ANA AMSHA DUDE? Bora tuu lidude lilale hadi tupewe Makinikia zetu.
Mi akipost Mange kimambi ndo nitaamini.
 
Nipo hapa nimeshaweka clouds FM kuanzia sasa hivi mpaka baadae kwenye xxl
 
Haya haya....Hajawahi kuniangusha Diamond Platnumza kwa kila ngoma mpya ambayo huwa anaitoa! Pamoja na kuwa huwa zinapigwa vita sana lakini huendelea kutamba kadri siku zinavyo kwenda! Kama kawaida yake wimbo huwa kama haueleweki mwanzoni lakini mwishowe utaona kila mtu ana uimba either kwa kupenda au kuto kupenda

Najua Baada ya Diamond Kesho kuliamsha Dude basi Na wengine Watafuata siku kadhaa mbele kuachia Nyimbo zao! Makinikia yamepita,Bashite amepita,Roma Nafundisha primary sasa ni wakati wa Ngoma nzuri!!

Diamond kamshirikisha nani...?? Kaimba na nini? Wapi? Kideo Vipi mamboa yote ni kesho

Kifupi Kesho Diamond platnumz Analiamsha Dude!


Hakuna namna
 
Back
Top Bottom