nikwel mimba zina mengi sana ila chibu furaha ndo imemfanya afunguke anakua kama haamini vile
Hard work pays.
kabisa tena.
Nlikuwa excited too ila too bad i lost the baby.
Ndo maana naona umuhimu wa kuliweka liwe kimya.
I thank God sikuliweka wazi teh teh
Duh! Huu uzi mbona watu wamefunguka sana.. Magazeti .?!
dogo anakula mzigo first class
Heheheeee kantangazeeee!
Mie natoa hongera tu
Jana Diamond Plutnumz na mpenzie wake Zari thebosslady wamepost picha ya watoto wawili mmoja wakike na mwingine wa kiume wote wakiwa wameandika A au B badala ya wao wenyewe kulumbana sana....Diamond anataka B na Zari kwakua anao B watatu anataka iwe A
Embu chek Plutnumz alivyoandika kua amechoka mabishano kwaiyo anataka mashabiki wapige kura kua Mimba ya Zari itakuja na katoto ka kike au ka kiume??
Lol tazama chini hapo👇👇👇👇👇
Huyu mtoto ni mjinga sana sijawahi kuona.
This is a stunt I tell you, hamna mimba wala nini. Wanacheza na akili zenu, they want to make headlines.
yaani sijui kwann anakua desperate kiasi icho.....huenda ikawa ni sehem ya biashara pia katika kuteka mind's za mashabiki wao na kujiongezea umaarufu
Sasa naweza kuamini bila shaka yoyote Huyu mtoto hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke.
Huyu mtoto ni mjinga sana sijawahi kuona.
Huyu mtoto ni mjinga sana sijawahi kuona.
kama zari ana mimba ya diamond kweli basi diamond ajiandae kutulia.....huyo si wema na penny. wakiachana lazma wagawane kila kitu ......ohoooo aulize ex husband wa zari alifanywa nini