Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
Wivu RUMBAKumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
"Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa" MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.. *IN BANZA STONE'S VOICE*Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
I SEE THE POINT HERE... AND LIFE GOES ON. LET HIM BE!Hiyo ndio business model yake.
Anatengeneza pesa zaidi kwa kuonyesha persona iliyo expensive.
Ni strategy nzuri.
Acha kukariri, maneno UMBEYA na UMBEA yote ni sawa inategemea na mtumiaji wa neno husika (tafuta kwenye kamusi usiongee kiswahili cha jukwaani cha maneno yalizoeleka kutumika).Umbea sio umbeya🤝🤝
🤝🤝🤝Acha kukariri, maneno UMBEYA na UMBEA yote ni sawa inategemea na mtumiaji wa neno husika (tafuta kwenye kamusi usiongee kiswahili cha jukwaani cha maneno yalizoeleka kutumika).
Limbukeni huyo mwagana nae..Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Ndio wakati wake mkuu mwache ale bata hata MR NICE naye alipita huko.Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Wewe ndio wale wale.Hehehee comments zinafurahisha. Subiri afanye mwingine hivyo atasimangwaa balaa maneno tele. Raha ya kuwa mtanzania hii
Huyo mtoa mada huwa anatoa hiyo misaada ?Siku hizi jf,comment ya kwanza ikiponda jambo basi comment zitakazofuata, kila mmoja ataponda pia! comment ya kwanza ikisupport basi zitakazofuata zitasupport pia!
Mleta mada labda ungemshauri tu Diamond kua azidishe misaada kwa jamii.
Muulize boss wa BashiteUmaskini kitu kibaya sana.
Hivi nini husababisha maskini kuwachukia wenye pesa?