Diamond punguza ku show off yako

Diamond punguza ku show off yako

Kumbuka mashabiki zake ndo huwa wanapenda hzo show off zake,Yeye mwenyewe kashagundua hilo ndo mana hata akitaka kutoa ngoma lazima azungumzie mahusiano yake au kitu chochote kuhusu familia yake ili wajazane You Tube,Mziki wa Diamond huwa una endana na hiz show off.
 
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Wivu RUMBA
 
Sasa hivi anaomba mashabiki wamchagulie jina la mtoto
 
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
"Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa" MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.. *IN BANZA STONE'S VOICE*
 
Umaskini kitu kibaya sana.


Hivi nini husababisha maskini kuwachukia wenye pesa?
 
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Limbukeni huyo mwagana nae..
 
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije lakini maisha yako kwa sasa yametawaliwa na starehe na anasa ni sawa hatukutazi lakini vitu vingine sio lazima huvifanye vionekane kwa jamii
wewe kila siku umekuwa ni mtu wakuhonga magari madem hutukukatazi lakini sio vizuri kila jambo lionekane kwa jamii hasa kupost mitandaoni unasababisha shabiki kukuchukia sio vizuri hali hii inawaumiz watu wengi
tayari media zimeshakususa nguvu unayopata zaidi ni ya mashabiki tu ogopa sana na isije ikatokea na mashabiki naowakususe bro badilika kwa hili
Ndio wakati wake mkuu mwache ale bata hata MR NICE naye alipita huko.
 
Ndio mambo hayo, yaani nisinywe bia zangu kisa watu wengine wana matatizo! We unafikiri nani anaweza kutatua matatizo yote Duniani.
 
Mnashindwa kujisikia vibaya viongozi wenu mnaowalipa mishahara wakitumia vibaya madaraka na kodi mnazolipa uje kujisikia vibaya kwa show off za Diamond anayekula kwa jasho lake. Kama sio wehu ni nini ?

Nendeni mkapambane na wakina Makonda huko.
 
Hehehee comments zinafurahisha. Subiri afanye mwingine hivyo atasimangwaa balaa maneno tele. Raha ya kuwa mtanzania hii
Wewe ndio wale wale.

Wivu utawaua nyie watu.

Unamvyomchukia utafikiri mlijitongozesha kwake akawatema
 
Siku hizi jf,comment ya kwanza ikiponda jambo basi comment zitakazofuata, kila mmoja ataponda pia! comment ya kwanza ikisupport basi zitakazofuata zitasupport pia!

Mleta mada labda ungemshauri tu Diamond kua azidishe misaada kwa jamii.
Huyo mtoa mada huwa anatoa hiyo misaada ?
 
Back
Top Bottom