Diamond: Sasa atatembea akiwa amekaa hapa.....

Kivumah

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,427
Reaction score
1,054
Hongera Dogo,






Picha juu ni Taswira mbalimbali za mwanamuziki machachari nchini Diamond Platinumz akiwa mbele ya gari yake mpya aina ya Land Cruiser Prado VX.

source: hakingowi blog



 
Hongela, ila kumbuka kujenga nyumba kwanza, alafu wasanii wa bongo awajifunzi mnanunua magali atapa kupaki auna jenga nyumba kwanza ndio uonyeshe gali likiwa kwenye parking ya mjengo wako, gli sio dili kwani nyumba ndio aset ya kudum gali ni machuma tu ayo likipata ajali kwisha kazi,
 
Pumbavu............be unique bana unakimbilia gari za wanasiasa.........haya mastaa ya bongo yanakera kila siku magari yaleyale tuuu toyota...........fuc..fuc mimi sifagilii. Sasa tutatofautisheje gari la mnyika na gari la diamond. Aisee acheni ushamba... Nunua kigari chako muundo wa kipekee mpaka kiwe gumzo mjini hapa sas prado jina zeeeeeeeeeeeeeeeeee..........magari ya cccm hayo kaka
 
Diamond ana myumba 2 na ya tatu iko hatua za mwisho kukamilisha ni mwanamziki mwenye mafanikia nadhani kuliko wote na pia ana despline sana ya matumizi mbali na gari hiyo pia anamiliki range rover
 
diamond ana nyumba 2 na ya tatu iko hatua za mwisho kukamilisha ni mwanamziki mwenye mafanikia nadhani kuliko wote na pia ana despline sana ya matumizi mbali na gari hiyo pia anamiliki range rover
kwenye red; umeviona au umeambiwa???
 
Show off, pakulala kukodi.............upuuuzi.
 
Saaafi Dogo, from Opa to PRado and 2 houses.. Dogo is full controlled,ana nidhamu sana ataishi vizuri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Saaafi Dogo, from Opa to PRado and 2 houses.. Dogo is full controlled,ana nidhamu sana ataishi vizuri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Ana nyumba mbili Tandale kwa Tumbo
 
hebu msilete habari za kijiweni. Hizo nyumba leteni picha zake kama mlivyoleta hiyo picha ya STK yake!
 
Diamond ana myumba 2 na ya tatu iko hatua za mwisho kukamilisha ni mwanamziki mwenye mafanikia nadhani kuliko wote na pia ana despline sana ya matumizi mbali na gari hiyo pia anamiliki range rover

Unaongelea range rover kama vile unaongelea nissan march eeeh? Kama alikuwa na rover then asingenunua hiyo STK yake.
 
Yangu iko chumvini, wewe endelea kusifia Wanaume wenzako kwa kitu ambacho una uwezo wa kukifanya. Ndoa za jinsia moja zikiruhusiwa zitaathiri wengi.


[TD="colspan: 2"][h=1]2004 Toyota Sequoia SR5[/h][h=2]CLEAN CARFAX * THIRD ROW SEATING * REAR A/C * TOWING *[/h]


[/TD]

[TD="class: ipics-cell-0"]

[TD="class: vs_w-a"]


[/TD]


[/TD]
[TD="class: isumv1_5-cell"][TABLE="class: vi-is1"]
[TR]
[TD="colspan: 4"][/TD]

[TH="class: vi-is1-lbl"]Item Location:[/TH]
[TD="class: vi-is1-clr, colspan: 3"]Dallas, Texas., United States[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TH="class: vi-is1-lbl"]Time left:[/TH]
[TD="class: vi-is1-clr, colspan: 3"]5d 04h (Jun 25, 201209:08:59 PDT)[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="class: vi-is1-bdr, colspan: 4"][/TD]

[TH="class: vi-is1-lblp vi-is1-solidBg"]Price:[/TH]
[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-tbll"]US $8,950.00[/TD]
[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-tblb, colspan: 2"] Buy It NowBuy It Now [/TD]

[TD="class: vi-is1-solid, colspan: 4"][/TD]

[TD="class: vi-is1-solid_bevel, colspan: 4"][/TD]

[TD="class: vi-is1-solid, colspan: 4"][/TD]

[TH="class: vi-is1-lblp vi-is1-solidBg"]Best Offer:[/TH]
[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-tbll"][/TD]
[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-tblb, colspan: 2"] Make OfferMake Offer [/TD]

[TD="class: vi-is1-solid, colspan: 4"][/TD]

[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-lbl"][/TD]
[TD="class: vi-is1-solid"][/TD]
[TD="class: vi-is1-solid vi-is1-tblb, colspan: 2"]Add to Watch list










[/TD]

[TD="class: vi-is1-solid"][/TD]
[TD="class: vi-is1-solid, colspan: 3"][/TD]

[TD="class: vi-is1-bdr, colspan: 4"][/TD]

[TH="class: vi-is1-lbl"][/TH]
[TD="class: vi-is1-clr, colspan: 3"] Get low monthly payments

[/TD]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Na wengne tusio wanamuzk pia tuna magari yetu, cjui tunaruhusiwa kuya expose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…