Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukiwa na mkataba ulio wazi tangu awali umesaini mwenyewe baada ya kupitia terms zote iweje useme ni unyonyaji?? Ama hawa wasanii wetu hawajui kusoma ama wanadaiwa vitu ambavyo havikuwa kwenye mkataba!!!Rich mavoko alipotaka kuvunja mkataba aliambiwa atoe milion 250 akachemka matokeo yake kila kitu akampoka mpaka akaunti za kijamiii
harmonize alipotaka kujitegemea akaambiwa atoe milion 500 kuvunja mkataba kisha na gharama za kurecord kila nyimbo
rayvanny alijaribu kuuliza ki utani utan je yeye watamtoza bei gani ameambiwa kuvunja mkataba milion 400
hans stone ameshindwa kusaini mkataba na wasafi sababu mkataba ulikuwa wa miaka 20
Upo kwenye account ya nan?Kwani yope Ni wimbo wake ??? Au hujui hata huko YouTube huu wimbo haupo kwenye account yake . Hii nchi imejaa wajinga Sana Kama wewe
sawa contractistWewe ulitaka awatoze sh ngapi?
Ila kuna watu ni wajinga sana !
Unafahamu lolote kuhusu mikataba ?
Unajua yeye diamond katumia sh ngapi mpaka watu hao wakakubalika na jamii
Narudia tena hili swali unajua lolote kuhusu mikataba ?
Nafahamu kukushinda hata wewe aisee uliza nikuelekezeWewe ulitaka awatoze sh ngapi?
Ila kuna watu ni wajinga sana !
Unafahamu lolote kuhusu mikataba ?
Unajua yeye diamond katumia sh ngapi mpaka watu hao wakakubalika na jamii
Narudia tena hili swali unajua lolote kuhusu mikataba ?
account ya baba akoUpo kwenye account ya nan?
Kilaza wew
Bao lako bora maza ako angelinywa akalimeza hivi unajua vipengele vingine vilivyokuwa ndani ya huo mkataba? Huwezi weka mkataba kuwa kampuni itakukadiria ukitaka kutoka unajua kuwa mondi mara ya kwanza alitaka milion 200 ila roho mbaya ya mama dangote akawaa anashinikiza iwe milion 800? Usiseme kitu kama hujuiWe jamaa hilo bao bora mshua wako angepiga puli..
Hivi mkataba wa harmo kwa akili yako unadhani ulikua na thamani ya sh ngapi kwa ukubwa wa harmo??
Mimi naona hata mil 500 ni ndogo sana kwa jinsi harmonize alivyo msanii mkubwa..
Pia wakati wanasign hio mikataba kwani walisignia bar?? Mbona kusign walikua kimya lakini kwenye kuvunja wanakuja hadharani kutafuta huruma ya watu.
Kijana naona unateseka Sana na WCB Mara useme wanaudini Mara hiv Mara hiv unapoteza muda wako bure Bora muda huo utumie kujiletea maendeleo wakati wenzako wanna wafuasi wengi na wanaopenda nyuzi zako hiz hazitasaidia kitu na diamond anapendwa cos ya mziki wake anawapa watu anachotaka na uzi wako 98% hawatakuunga mkono ulichoandika.Fanya mambo yanayokuhusu kuliko kushughulika na mambo yasiyokuhusu.Umeuona huo mkataba??
Kuna mijitu mengine akili Haina Kama mtoa mada anazani uzi wake utapata sapoti kubwa badala yake 98% ya members wa humu wameukataa hoja yake.Mtoa mada anatakiwa asome alama za nyakati alafu namshauri arudi shule.Kwanza anatakiwa amshukuru Domo kwa kumutoa jalalani
anazungumzia remix mkuu uwe muelewaKwani yope Ni wimbo wake ??? Au hujui hata huko YouTube huu wimbo haupo kwenye account yake . Hii nchi imejaa wajinga Sana Kama wewe
Kwani nyie mliwahi kujua Ruge na Clouds walikuwa wanatumia sh ngap?? Mbona mliwaita wanyonyaji???Wewe ulitaka awatoze sh ngapi?
Ila kuna watu ni wajinga sana !
Unafahamu lolote kuhusu mikataba ?
Unajua yeye diamond katumia sh ngapi mpaka watu hao wakakubalika na jamii
Narudia tena hili swali unajua lolote kuhusu mikataba ?
Kimkyando siandiki ili watu waniunge mkono mmi nafikisha ujumbe wangu kama ulivo hata kama muziki wake unapendwa diamond nj myonyaji unajua kwa nini hanstone mpaka leo hajatoka na walikuwa washasaini mkataba wa awali?? Kupewa gari kwenye harusi yako isiwe kigezo bbwana kimkyandoKijana naona unateseka Sana na WCB Mara useme wanaudini Mara hiv Mara hiv unapoteza muda wako bure Bora muda huo utumie kujiletea maendeleo wakati wenzako wanna wafuasi wengi na wanaopenda nyuzi zako hiz hazitasaidia kitu na diamond anapendwa cos ya mziki wake anawapa watu anachotaka na uzi wako 98% hawatakuunga mkono ulichoandika.Fanya mambo yanayokuhusu kuliko kushughulika na mambo yasiyokuhusu.
Mimi nakuzidi elimu wewe na mke wako sasa kama wewe unakaounti zaidi ya 5 na zote unaingia nazo hapa nifanyajeKuna mijitu mengine akili Haina Kama mtoa mada anazani uzi wake utapata sapoti kubwa badala yake 98% ya members wa humu wameukataa hoja yake.Mtoa mada anatakiwa asome alama za nyakati alafu namshauri arudi shule.
Unavunjaje mkataba wakati pesa yako ni ya mawazo ? kule Ulaya ukivunja mkataba na MOU lazima upate maumivuRich mavoko alipotaka kuvunja mkataba aliambiwa atoe milion 250 akachemka matokeo yake kila kitu akampoka mpaka akaunti za kijamiii
harmonize alipotaka kujitegemea akaambiwa atoe milion 500 kuvunja mkataba kisha na gharama za kurecord kila nyimbo
rayvanny alijaribu kuuliza ki utani utan je yeye watamtoza bei gani ameambiwa kuvunja mkataba milion 400
hans stone ameshindwa kusaini mkataba na wasafi sababu mkataba ulikuwa wa miaka 20
Msaidie harmonize kulipa deni , alipovunja mkataba alijua ni sawa na kuvunja sahaniMimi nakuzidi elimu wewe na mke wako sasa kama wewe unakaounti zaidi ya 5 na zote unaingia nazo hapa nifanyaje
Kuvunja mkataba sio sawa na kuvunja sahaniWasafi wananyonya hadi mk****