Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Walikua wanalia mitandaoni kwamba clouds ni wanyonyaji kumbe wao nao ni wanyonyaji mambo leo
Hiyo hela ni ndogo sana tena mond kamfanyia uungwana sana unapovunja mkataba kabla haujaisha lazima ulipe gharama za huo mkataba hili liko wazi dunia nzima,kama unaona mond ni mnyonyaji jaribu kufuatilia mikataba ya nchi zingine zilizoendelea kimziki uone haya mambo yanavoenda usipende kulishwa maneno.Juzi hapa Kanyewest alikua analalamika amesaini mkataba wa maisha na kampuni ya EMI 2003 yaani mkataba haumruhusu kustaafu mziki mpaka kufa kwake.
In EMI lawsuit, Kanye West claims contract prohibits him from retiring | The ...
So mlikua mnamlaumu nini marehem Ruge ?Kwa walitaka kutumia nembo ya wasafi, afu waondoke waka-make hela sio?!
Wewe huo mkataba wa miaka 20 umeuona? Usiamini kila unachokisikia.Diamond huyu huyu aliekuwa alilia na Ruge kuwa ni mnyonyaji nae leo kawa hivyo? Ama kweli mondi anataka kila ufalme hata wa roho mbaya. Mkataba wa miaka 20? Kalagabaho!
Tatizo la ruge ni moja mkishashindwana maslahi anakimbilia kutopiga nyimbo zako msanii sometime msanii unaogopa kukataa kupokea offer waliokupa clouds hatakama ni ndogo kuofia kutopigwa ban kwa ngoma zako mfano diamond aliwakatalia show mbili za fiesta kutokuridhika na kiwango Cha fedha watakachomlipa ili likapita ikaja Jambo lingine likaja la harmonize clouds walitaka kuandaa show kuajili ya harmo bila harmo kulipwa badala yake watampa promo redioni diamond akakataa cos ametumia kiasi kikubwa kumfanya awe mkubwa eti Leo atumike bure hiv hiv akakataa baada ya hapo tukaona clouds hawapigi ngoma za wasafi na ndo hapo bifu likainuka Kati ya WASAFI na CLOUDS.So mlikua mnamlaumu nini marehem Ruge ?
'vijana waliosaidiwa na mond wakumbuke walikotoka na hapo walipo leo hii ukizunguka mtaani kuna wasanii weng hawjui watokee wapi msanii kujenga nyumba tatu kwa miaka mitatu tu sio jambo dogo wakina yamoto walitoka ata pesa yakulipa kodi walikuwa hawana
Kwa nini unaamini kuwa Hamornise kalipishwa milioni 500, uliona? Kwanini usiamini mkataba wa mika 20?!Wewe huo mkataba wa miaka 20 umeuona? Usiamini kila unachokisikia.
Naona umeongea pumba na pia unaonekana ujui chochote zaidi ya udaku.Diamond huyu huyu aliekuwa alilia na Ruge kuwa ni mnyonyaji nae leo kawa hivyo? Ama kweli mondi anataka kila ufalme hata wa roho mbaya. Mkataba wa miaka 20? Kalagabaho!
Huo mkataba wa miaka 20 ndo kwanza nasikia kwako.Kwa nini unaamini kuwa Hamornise kalipishwa milioni 500, uliona? Kwanini usiamini mkataba wa mika 20?!
wasiokuwa na hoja huwa na vioja, umejiona bwege umeanza kuropoka. nimefunga mjadala na wewe huwa sijibu punguani, nilikuwa sijajua level ya uelewa wako ndio maana nilikujibu, alamsiki.Naona umeongea pumba na pia unaonekana ujui chochote zaidi ya udaku.
Rich mavoko alipotaka kuvunja mkataba aliambiwa atoe milion 250 akachemka matokeo yake kila kitu akampoka mpaka akaunti za kijamiii
harmonize alipotaka kujitegemea akaambiwa atoe milion 500 kuvunja mkataba kisha na gharama za kurecord kila nyimbo
rayvanny alijaribu kuuliza ki utani utan je yeye watamtoza bei gani ameambiwa kuvunja mkataba milion 400
hans stone ameshindwa kusaini mkataba na wasafi sababu mkataba ulikuwa wa miaka 20
???????hans stone ameshindwa kusaini mkataba na wasafi sababu mkataba ulikuwa wa miaka 20
Diamond huyu huyu aliekuwa alilia na Ruge kuwa ni mnyonyaji nae leo kawa hivyo? Ama kweli mondi anataka kila ufalme hata wa roho mbaya. Mkataba wa miaka 20? Kalagabaho!
Kwani yope Ni wimbo wake ??? Au hujui hata huko YouTube huu wimbo haupo kwenye account yake . Hii nchi imejaa wajinga Sana Kama wewe
kwani kuna kosa?!Kwani kosa la Diamond ni nini?
Kwa nini unaamini kuwa Hamornise kalipishwa milioni 500, uliona? Kwanini usiamini mkataba wa mika 20?!