πππ
Ila mondi anazimikia Rolls Royce.
Avute basi Rolls Royce Phantom!!!
Poa mkuuπ€£π€£π€£π€£π€£May be yes may be no sina uhakika na hilo
Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!!
Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!
Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!
Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!
Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!
Nilishatoa ufafanuzi kwamba ndege nimetoa kama mfano tu lakini hoja ya msingi ni mafanikio ya kifedha kwa ujumla!!!Maswali 3:
- umejuaje Diamond hana hela?
- nani kakwambia mafanikio ni ndege?
Kwahiyo kama uwaamini FORBES unaamini nani sasa maana hao wanaenda kwa data, Basi mimi tajiri kuliko wote Africa.Mkuu ushawahi kujiuliza Forbes huwa wananufaika vipi na hicho wanachokifanya?
Mkono mtupu haulambwi..hizo takwimu huwa wanapika. Wanachofanya ni kumfuata mhusika (inategemea na image ya muhusika kwa jamii) wananegotiate. Au muhusika kuwafuata forbes then wanapika mambo. Forbes ni wafanyabiashara wajanjajanja tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Takwimu huwa zinakuwa ni za makadirio ya juu juu tu. Kuna wajuba wana hela zile za urithi walizikuta toka vizazi na vizazi, lakini hata forbes hawajawahi kutokea. Wao ni kuamka na kucheza tu karata asubuhi huku wakitoa donation kwa watu wa UN.
Maisha haya bwana hayana usawa kabisa[emoji16][emoji16][emoji16]
Unafanya kazi Forbes mkuu ??Hawafanyi kazi bure...maslahi/hongo ni lazima ndio point yangu hio mkuu. Hongo ndio hupindisha ukweli...
Fuatilia replies zangu zote ndio utaelewaKwahiyo kama uwaamini FORBES unaamini nani sasa maana hao wanaenda kwa data, Basi mimi tajiri kuliko wote Africa.
Then ujaelewa jamaa anazungumzia nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishatoa ufafanuzi kwamba ndege nimetoa kama mfano tu lakini hoja ya msingi ni mafanikio ya kifedha kwa ujumla!!!
Sijasema mondi hana hela. Nimesema anaweza kuingiza hela zaidi. Na ndio ikaja hoja kwamba si ajabu angekuwa mganda au mkenya angekuwa na mchongo mrefu kuliko alionao sasa!!!
Sidhani kama pesa ya muziki ndiyo iliyomfanya Jaguar akanunua kale 'kandege'. Ni sawa na leo Mo Dewji akatoa track halafu tukasema muziki umemfanya Mo bilionea which is wrong.Sifahamu wenye ndege zaidi ya jaguar. Ila navyofahamu wengi wa kiwango cha kati wana mafanikio kifedha kuliko wenzao wenye kiwango hicho hicho waliopo bongo. Kwa hiyo nazungumzia mafanikio kwa ujumla si kununua ndege tu
Mkuu mbona unakuja na munkari!? Tunajua mondi ana mafanikio. Hapa ni changamoto nimeweka mezani ajiongeze zaidi. Sasa unapokuja na matusi yako hayo ndio tufuate usemacho au tukuogope?Ujinga ni ugonjwa, hivi mafanikio ya mtu ya kifedha unayajuaje? Umeona mikataba ya kazi zake? Umejua analipwa shillings ngapi? Unajua matumizi yake? Ndugu yangu, solve matatizo ya watu Achana na ya watu!
Jaguar ni mfanyabiashara alieanzia kwenye mziki baadae akawa mwanasiasa.Sidhani kama pesa ya muziki ndiyo iliyomfanya Jaguar akanunua kale 'kandege'. Ni sawa na leo Mo Dewji akatoa track halafu tukasema muziki umemfanya Mo bilionea which is wrong.
Umeandika vice versa mkuu....ni hivi Jaguar ni mwanamuziki aliyeanzia kwenye biashara baadae akawa mwanasiasaJaguar ni mfanyabiashara alieanzia kwenye mziki baadae akawa mwanasiasa.
Kama nakupata mana niliona kiba Ana utajiri 4+ million dollars na mondi Ana 5+ million dollars sikuamini hata kidogoForbes ni wafanyabiashara pia...huwa wanatetea ugali wao kwa style hio. Jaribu tu kufikiria kwa akili ya kawaida utapata jibu haina haja ya kleta ushahidi hapa mkuu
wewe unamilik nini? Wabongo banaDiamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!!
Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!
Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!
Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!
Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!