Diamond sasa ni kubadili mafanikio kuwa hela

Naona uko kazini kwa malipo halsliView attachment 1313511

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ni mdau tu wa sanaa silipwi na mtu. Kwa sababu kama nalipwa nisingeukosoa uongozi wa watu hao hao wanaonilipa!!! Mkuu mbona hili liko wazi huoni?
Hizi ulizoleta hapa ni blog uchara watu hawana cha kuandika wanawinda habari kila mahali halafu wanamodity. Kanjanja hao mkuu. Naomba ieleweke hivyo.
 
Kama nakupata mana niliona kiba Ana utajiri 4+ million dollars na mondi Ana 5+ million dollars sikuamini hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond ana 5+ ambayo ni 5+1 =6
Alli kiba ana 4+ ambayo ni 4+5=9 ko kiba ni tajiri kuliko Mond
Usiniulize kuhusu vyanzo vya Mond ila kiba anafanya shoo nyingi kwa mwaka
Kiba anmiliki moja kati ya lebo kubwa ya muziki Africa (kings music)
Anamiliki radio n tv station
Ni msanii pekee anafanya indosment za makampuni mbalimbali kuliko msanii yeyote Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…