Mkuu mimi ni mdau tu wa sanaa silipwi na mtu. Kwa sababu kama nalipwa nisingeukosoa uongozi wa watu hao hao wanaonilipa!!! Mkuu mbona hili liko wazi huoni?
Bank ikikupa mkopo ina maana imeona unakopesheka ndiyo maana siyo kila mtu ana sifa hiyo. Yani ukikuta mtu ana mkopo wa tshs 1 bilion mpe heshima yakeInasemekana ana madeni benki
Diamond ana 5+ ambayo ni 5+1 =6Kama nakupata mana niliona kiba Ana utajiri 4+ million dollars na mondi Ana 5+ million dollars sikuamini hata kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app