Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wakati bimkumbwa Wema Sepetu akijiaminisha kua ni mke mtarajiwa wa msanii Diamond platnum
Platnum kafunguka na kusema hafikiriii kuoa, Mama ubaya tumbo jotroooo na pete yake ya ndoa aliyojivisha mbona kazi ipo
WAHENGA WANASEMA "KUPENDA SIO KAZI ,KAZI NI KUMPATA ANAEKUPENDA"
TEAM Wema kazi kwenu kumshauri na kumsifia madame wenu kajiwekesha na kujiaminishaa halaf mwanaume anaongea hadharan kua hafikirii kuoa kwa hiyo yupo na Wema kwa muda tu ndio maana hiyo atii"!!!
,,,,team wema mtaponda mawe lakin shemeji yenu ndio hiyooo,,,,,,,
Source : ijumaa
Platnum kafunguka na kusema hafikiriii kuoa, Mama ubaya tumbo jotroooo na pete yake ya ndoa aliyojivisha mbona kazi ipo
WAHENGA WANASEMA "KUPENDA SIO KAZI ,KAZI NI KUMPATA ANAEKUPENDA"
TEAM Wema kazi kwenu kumshauri na kumsifia madame wenu kajiwekesha na kujiaminishaa halaf mwanaume anaongea hadharan kua hafikirii kuoa kwa hiyo yupo na Wema kwa muda tu ndio maana hiyo atii"!!!
,,,,team wema mtaponda mawe lakin shemeji yenu ndio hiyooo,,,,,,,
Source : ijumaa