Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
“Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina”

Hayo sio maneno yangu mimi ni maneno ya Diamond mwenyewe akimuongelea Harmonize

Unajifunza nini katika sentensi/maneno hayo toka kwa Diamond?

Mtofautishe Diamond na Harmonize kwa hilo tu.
 
Sawa hawezi kununua nguo ya milioni 7, mwenzake harmonize anaweza, tena nguo si anavaa mwenyewe akitaka. Yeye anaweza kuonga magari na nyumba kwa wanawake wa mjini, ndiyo raha yake. Which means wanaume wengine hawawezi kufanya hivyo. Kila mtu na maisha yake.
 
Ni kama harmonizer anavyoweza kusema mimi sina ujinga wa kuzaa zaa na wanawake kila sehemu na kutoa child support kote huko,ujinga huo sina.
 
Haya mahojiano diamond aliyafanya lini na wapi? Huyu huyu Domo Leo hii anamzungumzia Hamornize kweli? Hebu leta chanzo hapa isijekuwa ni majungu
 
sasa bisheni kisa mmezoea viatu vya efshirini, nguo ni ghali nje aisee , Uk hiyo ferragamo ni pounds 319 approximately 950,000 kwa huku bongo, sa mnaona million 6 kununua nguo kama muujiza wakati ukinunua pair tano tu za ferragamo inakaribia hiyo 6m
Screenshot_20191023-091010~2.jpeg
 
sasa bisheni kisa mmezoea viatu vya efshirini, nguo ni ghali nje aisee , Uk hiyo ferragamo ni pounds 319 approximately 950,000 kwa huku bongo, sa mnaona million 6 kununua nguo kama muujiza wakati ukinunua pair tano tu za ferragamo inakaribia hiyo 6mView attachment 1241546
mkuu hiyo ferragamo ni ndugu ya ke na ferrari ama..?na kama ni nguo ni kyupi chenye ac..? kama ni suruali ukivaa inapaa..?
 
Angalizo...mwanamme kumdiscuss mwanaume mwengine ni umama....kwani mnasaidiana kutafuta pesa
 
Kwa hiyo kununua macheni, mapete na na madude ya mkononi kwa gharama kubwa sio ujinga eti!
 
Haya mahojiano diamond aliyafanya lini na wapi? Huyu huyu Domo Leo hii anamzungumzia Hamornize kweli? Hebu leta chanzo hapa isijekuwa ni majungu
Huyu jamaa anataka kutuingiza chaka diamond anayemzungumzia sasa hiv yupo marekani na kabla ya hapo diamond hajafanya interview na media yoyote.
 
Angalizo...mwanamme kumdiscuss mwanaume mwengine ni umama....kwani mnasaidiana kutafuta pesa
Huyo mtoa mada kawaingiza Chaka diamond yupo USA na kabla ya hapo hajafanya interview na media yoyote.
 
Back
Top Bottom