Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

Diamond hawezi kuongea maneno Kama hayo ukitaka kuona mtoa mada ni muongo mwambien aoneshe source ya taarifa yake Kama atakupa?
 
COTROLA umetuingiza Chaka hakuna interview yoyote aliyosema hivyo na sasa hiv diamond yupo Dallas marekani acha uongo.
 
Huyo mtoa mada kawaingiza Chaka diamond yupo USA na kabla ya hapo hajafanya interview na media yoyote.
Mwambie huyo mtoa mada source ya hiyo interview katolea wapi Kama akikupa nakurushia 10k.
Haya mahojiano diamond aliyafanya lini na wapi? Huyu huyu Domo Leo hii anamzungumzia Hamornize kweli? Hebu leta chanzo hapa isijekuwa ni majungu
Tupe source mkuu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…