MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Jana wakati akitolea ufafanuzi suala la yeye kuchepeka Hamisa Mobeto,Diamond alisema anashangazwa sana na tabia ya watu kuhusianisha kila rafiki wa dada yake basi yeye anatembea naye huku akienda mbele zaidi na kudai hali iko hivyohivyo sio kila rafiki yake basi anamkaza dada yake
"MAANA KILA MSHIKAJI WANGU MIMI A******* {ANALALA} DADA YANGU" Aliuliza Diamond Platinumz
Mdau unalolote kusema kuhusu matumizi ya lugha kwa huyu msanii namba moja Afrika?
"MAANA KILA MSHIKAJI WANGU MIMI A******* {ANALALA} DADA YANGU" Aliuliza Diamond Platinumz
Mdau unalolote kusema kuhusu matumizi ya lugha kwa huyu msanii namba moja Afrika?