Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hiyo avatar inanitishaYeah..dogo inabidi amheshimu sana yule Zari...Ni mwanamke anayejielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo avatar inanitishaYeah..dogo inabidi amheshimu sana yule Zari...Ni mwanamke anayejielewa
modelSisi watu wa tanga tunaita mkaza mwana, na sio tusi kwetu,
Halafu naomba kuuliza huyu hamisa huwa anashughuli gani? Maana namuona ona tu ila sijui kazi yake rasmi
Kwa kauli zile hawezi aseeNdo maana yake. Mtu anaweza kuvaa suti kali na kutamba wasafi sana, lakini kubadilika kutoka ass kwenda class akashindwa.
Huyu hamisa tangu lulu amchukue majizo (baba mtoto wa hamisa) naona kama kapagawa anaranda randa tu kama chiziSisi watu wa tanga tunaita mkaza mwana, na sio tusi kwetu,
Halafu naomba kuuliza huyu hamisa huwa anashughuli gani? Maana namuona ona tu ila sijui kazi yake rasmi
model wa instaHuyo Hamisa ni international model unalingine kiongozi
Na majizzo kwa lulu anaonekana kapenda tofauti ilivokuwa kwa hamisa , hadi Pete kamvisha si mchezoHuyu hamisa tangu lulu amchukue majizo (baba mtoto wa hamisa) naona kama kapagawa anaranda randa tu kama chizi
Mmh hayatabiriki mapenzi, alianza kwa aliemzalia yule mtoto mkubwa, akawa na zuhura Kazaa nae, Kawa na hamisa Kazaa nae.... Now yupo kwa lulu wote hakuwapenda???Na majizzo kwa lulu anaonekana kapenda tofauti ilivokuwa kwa hamisa , hadi Pete kamvisha si mchezo
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabirikiMmh hayatabiriki mapenzi, alianza kwa aliemzalia yule mtoto mkubwa, akawa na zuhura Kazaa nae, Kawa na hamisa Kazaa nae.... Now yupo kwa lulu wote hakuwapenda???
Wanaumee wajanjaa....wanajua wakituvisha pete ndo washajimilikishaa na kutuaminisha sisi mapoyoyoo....kinachofuata kinakuwa ni mimba sio harusi tena...Shikamoni wanaume woteMmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabiriki
Pete kitu gani, Pete zinaota kutu vidoleni na ndoa hakuna.... Time ll tell nisiongee sanaMmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabiriki