Diamond: Sio kila rafiki yangu basi anatembea na dada yangu

Diamond: Sio kila rafiki yangu basi anatembea na dada yangu

Sisi watu wa tanga tunaita mkaza mwana, na sio tusi kwetu,

Halafu naomba kuuliza huyu hamisa huwa anashughuli gani? Maana namuona ona tu ila sijui kazi yake rasmi
model
wewe unamuonaga wapi
 
Sisi watu wa tanga tunaita mkaza mwana, na sio tusi kwetu,

Halafu naomba kuuliza huyu hamisa huwa anashughuli gani? Maana namuona ona tu ila sijui kazi yake rasmi
Huyu hamisa tangu lulu amchukue majizo (baba mtoto wa hamisa) naona kama kapagawa anaranda randa tu kama chizi
 
nnachompendea mondi sio mtu wa chocho. akitaka kusema ki2 anasema directly hapindishi wala hakwepeshi kujifanya mwema etc. go mondi wakuache na zari wako na pliz muheshimu sana. sometimes kudate na mtu aliyekuzidi umri nayo inasaidia kukuelewa. apo mwingine angeshaanzsha timbwili kitambo
 
Hata Kama Kweli mchepuko wake unafikiri anasema ni Kweli?
 
Huyu hamisa tangu lulu amchukue majizo (baba mtoto wa hamisa) naona kama kapagawa anaranda randa tu kama chizi
Na majizzo kwa lulu anaonekana kapenda tofauti ilivokuwa kwa hamisa , hadi Pete kamvisha si mchezo
 
Na majizzo kwa lulu anaonekana kapenda tofauti ilivokuwa kwa hamisa , hadi Pete kamvisha si mchezo
Mmh hayatabiriki mapenzi, alianza kwa aliemzalia yule mtoto mkubwa, akawa na zuhura Kazaa nae, Kawa na hamisa Kazaa nae.... Now yupo kwa lulu wote hakuwapenda???
 
Mmh hayatabiriki mapenzi, alianza kwa aliemzalia yule mtoto mkubwa, akawa na zuhura Kazaa nae, Kawa na hamisa Kazaa nae.... Now yupo kwa lulu wote hakuwapenda???
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabiriki
 
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity

Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabiriki
Wanaumee wajanjaa....wanajua wakituvisha pete ndo washajimilikishaa na kutuaminisha sisi mapoyoyoo....kinachofuata kinakuwa ni mimba sio harusi tena...Shikamoni wanaume wote
 
Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity

Mmmh hilo nalo neno ila wote hao sidhan Kama kuna mtu kaonyesha nia ya kutaka kumuoa ila lulu kaonyesha kwa kumvisha Pete, ila ngoja tusiwasemee maana mapenz ya hawa macelebrity hayatabiriki
Pete kitu gani, Pete zinaota kutu vidoleni na ndoa hakuna.... Time ll tell nisiongee sana
 
Tatizo domo shule ni janga ubongoni mwake...yani kinaropokaga utafikiri kimetoka kupiga deki k ya baamedi..
 
Back
Top Bottom