Diamond sio msanii kwa kupambana naye “kiuchwara”

Diamond sio msanii kwa kupambana naye “kiuchwara”

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Watu wanaomshabikia Kiba na kufikiria kumshusha Diamond wakiwemo mawingu watumie akili zaidi kuliko kutaka kupambana naye kwa vimaneno tu.

Diamond yupo mbali sana; kwanza kuanzisha hii Media House sio kitu kidogo.

Pili juzi Diamond katoa hii Baba Lao tayari ina views 1.5m Youtube. Alikiba kosa analofanya naye jana katoa mshumaa una view laki.

Diamond yupo anga nyingine sana kwa sasa. Kumleta Wizkid kwenye show sio kitu kidogo while Kiba anawategemea Clouds wamtengenezee show na wapambe wake.

Kiba pambana uwe na nguvu yako usiwategemee wapambe ili upambane na Diamond.
 
kwani mnapata tabu huko?

kinachowakera ni kuona nguvu ndogo inawekezwa halafu matokeo makubwa.
 
bulabo, Kuna wapiga pambio wa wanasiasa, bali wewe umeamua kuwa mpiga pambio wa wasanii. Yaani unawaimbia waimbaji.
 
Mashabiki wa Kiba ni oya oya tu hawampi support ya kutosha, jiulize pamoja na kiki ya tamko but kule Youtube mshumaa unawaka kwa kusua sua.
mond ana video anamzidi views hata davido na wizkid.na nyingine kamzidi mpaka rick ross.
 
Back
Top Bottom