Acha ushabiki wa kijinga, jioni ntakuja hapo panapofananana na ID yako uniletee pisi kali.Anaeuliza kuhusu umiliki wa ndege mpya au used hajui hata usiku atakula nini
Ktk hili ngoja tu niwe Tomaso na niweke akiba ya maneno.Star wa muziki kutoka Tandale haishiwi surprises, kutoka Tandale mpaka kumiliki ndinga za maana kama Rolls royce, escalede mbili na gari yake yenye hadhi ya chini ikiwa ni v8 hizi za mawaziri na wabunge... sasa kaja na jipya lengine ambalo kama ni kweli basi si kwamba kapiga hatua bali kachana msamba
Akiwa anahojiwa kwenye Interview kituo cha DW Africa nchini ujerumani, Diamond alikuwa akizungumzia namna msanii anavyotakiwa kuishi au kuwa ili kupata ile heshima unayostahili na kuingiza mkwanja wa kutosha (msanii unavyotakiwa kujiwekeza mwenyewe)
"Mfano kwa mtu kama mimi ambaye nimetokea mtaani, kwasasa nanunua gari la kifahari lenye thamani hadi tsh. Bilioni 2.3/=... Kwahiyo itabidi ufanye hivyo kwani usipofanya hivyo hawatakuona wewe ni wa thamani (watakuchukulia poa)... Na sasa tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)" - Diamond Platnumz
Anakunyonya wapi fafanuaHwhdjdheusbhwihsgs mikataba hshdhjsjbdnsh mibovu bhdhdhsjhfhdhdhd ananyonya wasanii jj dish hv kdlslksnhdjdh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]roho ya kimasikini hii, ni kama mashabiki wa simba walianza kusema Yanga hawana pesa ya kumsajili Azizi Ki, wakaja kusema picha aliyopiga ya usajili ni edit, haya sasa kafika Yanga wanasema ni mchezaji wa kawaida [emoji23][emoji23]
Ni kweliHata kunguru ni ndege
Hππ’π ππππ ππππππππ ππ ππππππ ππππππππ π ππ π ππππ ππππ π πππππππππππSasa kama ni hii mbona inaonekana kama mbovu au ndio design yake,au atakuwa amenunua used anasubiria kuifanyia matengenezo ndio aje nayo huku...?
[emoji23][emoji23]Hππ’π ππππ ππππππππ ππ ππππππ ππππππππ π ππ π ππππ ππππ π πππππππππππ
Ujue kuna uwezekano mkubwa machawa ndo mnaumia kuliko watu baki?Kuna watu wanapata maumivu makali sana na mateso wakiona hii habari. Wengine mpaka watapigwa na stroke.
Msanii kununua ndege ni history kubwa kwenye muziki wa bongo na unapata thamani Diamond Platnumz ni zawadi kutoka kwa MunguUjue kuna uwezekano mkubwa machawa ndo mnaumia kuliko watu baki?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Star wa muziki kutoka Tandale haishiwi surprises, kutoka Tandale mpaka kumiliki ndinga za maana kama Rolls royce, escalede mbili na gari yake yenye hadhi ya chini ikiwa ni v8 hizi za mawaziri na wabunge... sasa kaja na jipya lengine ambalo kama ni kweli basi si kwamba kapiga hatua bali kachana msamba
Akiwa anahojiwa kwenye Interview kituo cha DW Africa nchini ujerumani, Diamond alikuwa akizungumzia namna msanii anavyotakiwa kuishi au kuwa ili kupata ile heshima unayostahili na kuingiza mkwanja wa kutosha (msanii unavyotakiwa kujiwekeza mwenyewe)
"Mfano kwa mtu kama mimi ambaye nimetokea mtaani, kwasasa nanunua gari la kifahari lenye thamani hadi tsh. Bilioni 2.3/=... Kwahiyo itabidi ufanye hivyo kwani usipofanya hivyo hawatakuona wewe ni wa thamani (watakuchukulia poa)... Na sasa tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)" - Diamond Platnumz