Diamond: Tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)

Ktk hili ngoja tu niwe Tomaso na niweke akiba ya maneno.
 
Acheni kumsifia mwanaume mwenzenu mpk mishipa ya shingo imewasimama si mnunue na nyie?
 
roho ya kimasikini hii, ni kama mashabiki wa simba walianza kusema Yanga hawana pesa ya kumsajili Azizi Ki, wakaja kusema picha aliyopiga ya usajili ni edit, haya sasa kafika Yanga wanasema ni mchezaji wa kawaida [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah vituko haviishi tyuuh, Domolayaa akikosaga kiki anazusha tyuuh chochote ili azungumzwe, woiiiiiih

Na machawa wake wanasimama dedee kushangilia, kumbe anawachotaa khaaah
 
Sasa kama ni hii mbona inaonekana kama mbovu au ndio design yake,au atakuwa amenunua used anasubiria kuifanyia matengenezo ndio aje nayo huku...?
H𝚞𝚒𝚘 πš‘πšŠπšπšŠ πšŠπš”πš’πš—πšžπš—πšžπšŠ 𝚝𝚞 πš–πš•πšŠπš—πšπš˜ πš’πš—πšŠπšπš˜πšœπš‘πšŠ 𝚠𝚎𝚠𝚎 πš‘πšŠπšπšŠ πš—πš“πš’πš πšŠ πšŠπš—πšŠπš”πšžπšœπš‘πš’πš—πšπšŠ
 
Story tu hizo
Hana hela ya kununua ndege huyo.
 
[emoji23][emoji23]
 

#Swahilination
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…