Hahaha kweli kabisa basi namuamini kwa.unafiki ..amsaidiy kwanza aliyepandikiza mani yake
Anayo yakumsaidia Harmonize.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayo yakumsaidia Harmonize.
Roho inakuuma tena mimi nikipongeza wasafi kupiga hatua 🤣🤣🤣Kuna mtu kahack account yako Nini?
Kwenye hili jukwaa nazani Kiba anaongoza kwa kukejeliwa na kudhahakiwa na membersnikiangalia haka kamjadala kalivyogeuka kuwa cha kumzungumzia kiba, ni dhahiri kuna tatizo kubwa humu.....kuna watu wana ugonjwa wa 'kinyeredi' humu. si kawaida hii. inasikitisha!! narudia kwa sauti, KUNA WATU WANAUMWA 'KINYEREDI' HUMU! Msaada tafadhali!!!!
kwakweli....Kwenye hili jukwaa nazani Kiba anaongoza kwa kukejeliwa na kudhahakiwa na members
Kwenye hili jukwaa nazani Kiba anaongoza kwa kukejeliwa na kudhahakiwa na members
King FM live from mjengoni Ugombolwa street around Tabata Sanene, YooooooWrite your reply...KAMA KIBA ANGETAKA REDIO YAKE ISIKIKE DUNIA NZIMA ANGEWEZA SEMA TU MITAMBO ALIYO WEKA RADIO YAKE KING FM INASIKIKA KWAKE TU HATAKI WATU WAIJUE SABABU HAPENDAGI SHOW OFF
na mnajitahidi kweli,mnasahau hata boss wenu ananuna sasa maana yeye shida yake huwa ni kutajwa tajwa haijalishi ni kwa kejeli,dharau,matusi au sifa.Kwenye hili jukwaa nazani Kiba anaongoza kwa kukejeliwa na kudhahakiwa na members
Hahahahah!!!ye baba..King FM live from mjengoni Ugombolwa street around Tabata Sanene, Yoooooo
Naunga hoja wale banNdio maana mimi natoa ushauri, watu wanaomletea mazereu King humu wapigwe Ban.
[emoji23][emoji23][emoji23]nmekupa likenikiangalia haka kamjadala kalivyogeuka kuwa cha kumzungumzia kiba, ni dhahiri kuna tatizo kubwa humu.....kuna watu wana ugonjwa wa 'kinyeredi' humu. si kawaida hii. inasikitisha!! narudia kwa sauti, KUNA WATU WANAUMWA 'KINYEREDI' HUMU! Msaada tafadhali!!!!
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Write your reply...KAMA KIBA ANGETAKA REDIO YAKE ISIKIKE DUNIA NZIMA ANGEWEZA SEMA TU MITAMBO ALIYO WEKA RADIO YAKE KING FM INASIKIKA KWAKE TU HATAKI WATU WAIJUE SABABU HAPENDAGI SHOW OFF
ahsante, nimeipokea!
mwenyewe nimeshangaaKuna mtu kahack account yako Nini?
Ni matumizi mabaya ya chuki...kumchukia domo ni kupoteza muda wako