Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
- Thread starter
-
- #21
Nimewaita wapumbavu wale ambao hawamtakii mema, na kama wewe umo hilo kundi wewe ni mmoja wa wapumbavu 😎Hahahaha! unachokikataa wewe ndicho unachokifanya kwasasa!! sasa wewe mbona unahoji maisha ya wenzako mkuu? tena mpaka unawaita wapumbavu? anyway nadhani unachokifanya ndio level yako ilipofikia,keep it up!
Anaposimama jukwaani kuipigia kampeni ccm basi ajue anawapoteza mashabiki wake wa vyama vingine,hivyo tu.Inabid ujue ya kwamba Diamond platnumz ni brand
Kuna vitu kwenye biashara huwa vinaweza kuzulika na kuvicontoll kama wafanyakazi, mapromoter, manager, n.k
Lakini Kuna vitu ambayo huwezi kuyaepuka wala kuyakimbia kwenye shughuli zozote zinazouingizia pesa, Haya mazingira ni
1.Siasa(politics) -
2.Hali y uchumi (Economy)
3.Jamii na tamaduni(society & culture)
4.Teknolojia (Technology)
5.Sheria (Legal issues)
6.Environmernt - (Mazingira)
Hapo kwenye siasa Diamond hawezi kuzuia wala kuzikimbia na endapo akienda kinyume brand yake itaharibiwa na wana siasa
Tuliza mbunye!!kama umepangiwa kuolewa utaolewa tu!siyo lazima uonyeshe makalio wazi!! Kwa mwendo huu wanaume tutaishia kukuchezea tu!We ngengemkeni nambie msanii gani asofanya siasa hapa bongo. Hata akina Jay Z, Didy na wale wakubwa Ulaya unaowajua wanafanya siasa wakati wa uchaguzi mkuu. Sasa Diamond kufanya siasa wakati wa uchaguzi mkuu ushaanza kujifanya mnajimu. Kwani kaanza juzi hizo siasa! Mbona bado anaendelea vyema kutusua? Kama ipo ipo tu mkuu wewe pambana na hali yako. Angekuwa anawakampenia UKAWA hata usingekuja humu kuhorojoka.
Eric hana kwa nchi za Sub-saharan Diamond platnumz ndio wa kwanza,kuwa nayo gold.Hata Eric Omondi anayo, kazi ni kwako na wewe kafungue Channel tafuta Views hata wa kununua.
Demokrasia ni kitendo cha kukubali kutokukubaliana na kila mtu ana uhuru wake na diamond sio wa kwanza kuwa na chama (usiubane uhuru wake wa kuchagua).pili sijui ulizaliwa mwaka gani ,hivi 2015 hujamuona Kiba akipiga kampeni karibia mikoa yote .Jay Z mwanachama wa Democratic na alichangia ktk kampeni za Obama,Hillary na bado mwaka huu kwa mara ya kwanza anashika namba moja kwa wa sanii wa Hip Hop wenye mkwanja mkubwa ,kwa hiyo muache nje ya mziki wake naye raia kama ww,usitake kubana uhuru wa mtu.Mimi ni mmoja wa mshabiki wake!! Nina moja la kushauri hapa!! Hebu Mwambie ajitahidi kufanya kazi zake nje ya majukwaa ya kisiasa! Hilo linampunguzia credit kubwa sana! Mfano kama leo angekuwa neutro bila kufungamana na chama chochote cha siasa basi angekuwa anatunukiwa diamond button kwa kuwa na subscribers 2m+!! Ila kiukweli kiba hana mashabiki wengi wanaopenda kazi zake toka moyoni ila tu wanasupport kwa kuw hawapendi msimamo wa mondi kisiasa!
Jay Z kachagia fedha na kuwapigia kampeni Hilary na Obama kupitia Demokratiki na mwaka huu kwa mara ya kwanza kawa msanii mwenye ela ndefu kuliko wote.Diamond kampigia kampeni Kikwete ,Magu na mwaka huu kachaguliwa kuimba kome la dunia Russia na kumiliki Wasafi TV&Radio ukiacha mwaka jana alivyoburudisha ktk kombe la shirikisho la Afrika.DIAMOND ana haki na uhuru kama ulikuwa nao ww,kwani nje ya mziki wake naye ni raia kama wewe na DEMOKRASIA NI KITENDO CHA KUKUBALI KUTOKUKUBALIANA.Anaposimama jukwaani kuipigia kampeni ccm basi ajue anawapoteza mashabiki wake wa vyama vingine,hivyo tu.
Sawa mke wangu kipenzi.Tuliza mbunye!!kama umepangiwa kuolewa utaolewa tu!siyo lazima uonyeshe makalio wazi!! Kwa mwendo huu wanaume tutaishia kukuchezea tu!
Bora umwambie huyu zumbukuku, mimi nimejaribu kumwelewesha ila kaishia kunitukana.Demokrasia ni kitendo cha kukubali kutokukubaliana na kila mtu ana uhuru wake na diamond sio wa kwanza kuwa na chama (usiubane uhuru wake wa kuchagua).pili sijui ulizaliwa mwaka gani ,hivi 2015 hujamuona Kiba akipiga kampeni karibia mikoa yote .Jay Z mwanachama wa Democratic na alichangia ktk kampeni za Obama,Hillary na bado mwaka huu kwa mara ya kwanza anashika namba moja kwa wa sanii wa Hip Hop wenye mkwanja mkubwa ,kwa hiyo muache nje ya mziki wake naye raia kama ww,usitake kubana uhuru wa mtu.
king gubu kiba100 yooooooooohEti kumchafua??
anakichafua mwenyewe kwa mapicha ya hovyo halafu mnasingizia Watu!
Media zinambania!
Mbona zikimpendelea hamsemi?
king Gubu kiba100Karibuni kwenye kiba100 world
Kwahiyo huyo kiba Anao hao 2mMimi ni mmoja wa mshabiki wake!! Nina moja la kushauri hapa!! Hebu Mwambie ajitahidi kufanya kazi zake nje ya majukwaa ya kisiasa! Hilo linampunguzia credit kubwa sana! Mfano kama leo angekuwa neutro bila kufungamana na chama chochote cha siasa basi angekuwa anatunukiwa diamond button kwa kuwa na subscribers 2m+!! Ila kiukweli kiba hana mashabiki wengi wanaopenda kazi zake toka moyoni ila tu wanasupport kwa kuw hawapendi msimamo wa mondi kisiasa!