Nimegundua kwa nini Diamond hutoa nyimbo hata tano ndani ya mwezi mmoja na akitulia kwa muda wa mwezi bila kutoa wimbo anafutika ghafla kwwnye ulimwengu wa muziki.
Hii itakuwa inatokana na nyimbo zake kukosa viwango hivyo kushindwa ktrend kwa muda mrefu vichwani mwa watu
Pamoja na kuachia nyimbo kama tatu hivi karibuni lakini zote zimeshachuja hivyo namshauri aote nyingine vinginevyo huku mtaani kwishinei
Hii itakuwa inatokana na nyimbo zake kukosa viwango hivyo kushindwa ktrend kwa muda mrefu vichwani mwa watu
Pamoja na kuachia nyimbo kama tatu hivi karibuni lakini zote zimeshachuja hivyo namshauri aote nyingine vinginevyo huku mtaani kwishinei