Wenzake wanazidi kubeba tuzo yeye yupo anakomaa na waganda
Wenzake wanazidi kubeba tuzo yeye yupo anakomaa na waganda
Hivi kujua jinsia ya mtoto unapima DNA au ultrasound?
Tuzo za mtu mmoja kupiga kura mara elfu moja ndio zifanyeje?
Waache wapokee, yeye amelala anachuma pesa za show ya leo. Kwahiyo mwache alale na Mganda kwani sio binadamu?
Kwa maelezo yake walitakiwa kwenda kupima ya mwisho ili kuji hakikishia kabisa lakini hawaja kwenda ila anaweza kuja wakike au wakiume...