Diamond: Tumeshapima DNA na kujua mtoto ni wa kike

Unaweza kujua jinsia ya mtoto kwa ultrasound but DNA ndo more modern kwenye kujua jinsia than Ultrasound.So he was very correct
 
Hivi binadamu wa leo wana uwezo wa 100% ya kujuwa mtoto atakayezaliwa? Mimi siamini utra sound tuzitumie kwa magonjwa tu na siyo kushindana na Mungu. (Siandiki haya kwa sababu ya diamond bali kwa yeyote yule)

Mkuu asilimia 100+ unajua
Hii si kushindana na Mungu mkuu ni utaalamu kama unavyoweza kujua unauvimbe tumboni kwenye ubongo nk nk
Ni sayansi ya kawaida kabisa, mi wife alifanyiwa nikaulizwa unataka kujua tukuambiea au vipi? Nikasema no
 
DNA inapimwa kujua mtoto ni wanani ...DNA si kipimo cha kujua jinsia ya mtoto ....na hisi yeye kwenye akili yake alikua anajua DNA ni kipimo cha jinsia ya mtoto
 
DNA inapimwa kujua mtoto ni wanani ...DNA si kipimo cha kujua jinsia ya mtoto ....na hisi yeye kwenye akili yake alikua anajua DNA ni kipimo cha jinsia ya mtoto

Technologia ni Dynamic Mkuu inabadilika na mahitaji ya watu.

Kuna njia wanaita "Free Cell DNA" hii inaweza kupima jinsia ya mtoto tena katika ubora na siku ya awali sana.

Ni vyema tuwe tunaji-update kila mara. Mambo hubadilika
 
Poor thinking! Watoto wa kikristo hawana akili za kipimbafu kama hizi maana wanajua wanachoongea! Eti DNA mtoto ni msichana! Mavi nini?

Sio kweli, upumbavu wa mtu hauhusiani na dini... Usipende kudharau dini za watu.

Hivi yule aliekaribishwa kula akasema ame-close alikuwa nani vileee?! Ni marehemu saivi ila kumbukumbu zangu zinaonyesha hakuwa muslim.
 
http://www.pregnancy.org/article/blood-test-determines-gender-at-seven-weeks

Unaweza kujiupdate zaidi, au Tumia search ingine yoyote na tafuta hiyo kitu. Then mje tena hapa kwa majadiliano.

Poor thinking! Watoto wa kikristo hawana akili za kipimbafu kama hizi maana wanajua wanachoongea! Eti DNA mtoto ni msichana! Mavi nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…