Diamond: Tumeshapima DNA na kujua mtoto ni wa kike


Na Sidhani Kama Alijua Kuwa Kakosea,daaah!
 
Akija tokea tofauti na wakike basi jamaa atakuwa amelamba garasa!
 

kweli dada wamwache chibu ajizalie
 
Hivi mganga wake yupo jamani? Ana lipi nyakati hizi tuzionazo? Aje atueleze mwendelezo wa yaleeee alipoishia
 
kwaiyo we unaamini alifanya DNA kwaajili ya kuangalia jinsia ya mtoto ?!

Soma katikati ya mistari utanielewa. Nazungumzia technologia na uwezekano wa kutumia DNA kuangalia jinsia ya mtoto. Swala la kupima au kutokupima yeye ndio anajua. Lolote linawezekana
 

Ni umasikini tu ndo maana watu hukimbilia ultrasound, DNA test is the best even two month you can determine the sex of growing fetus ... so the man is is right 100% SIR
 
Alompa Diamond uicon wa taifa hajakosea hata kidogo yaaani kila atachofanya/zungumza mond lazima kiletwe Jf kijadiliwe this is too much aiseee it
 
Hata mie nilishangaa sanaa eti alienda kupima DNA,,hivi ni nini kwel maana ya DNA?

Wakuu mimi sio mshabiki wa huyo dogo ila baada ya kusoma maoni yote ya wachangiaji imebidi ni google ili kuupata ukweli, kitu hicho kinawezekana kabisa na kwa anaetaka kudhibitisha afungue website ya hii taasisi Nimble Diagnostics, jamaa wana uwezo wa kutambua jinsia ya mtoto kwa mama mjamzito mwenye mimba ya wiki 7 tu.
 

Damu ya mama inaweza kuonyesha jinsia ya mtoto ndani ya wiki saba tu mimba kutungwa
http://www.pregnancy.org/article/blood-test-determines-gender-at-seven-weeks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…