Diamond tumhurumie tu bado mtoto na ushamba akikua ataacha , ataiga tabia za akina wizkid.

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Wakuu
Mond ni dhahiri ni mshamba akikua ataacha maana mmezoea oohh anaonewa wivu kwa kua kafanikiwa utahisi dunia nzima ni yeye Watu wana mkwanja mrefu lakini hawana dramma kama zake , ifikie hatua tumwache tusimseme akikua ataanza kubehave kama wizkid au ali kiba.
 
Naona kupostiwa na Rozay watu inawamix mix kiaina... Utasikia ile ni fotoshopu
 
Mcheki Mange fasta.....
 
Kila mmoja na maisha yake, hujui alipotoka
 
Acha kupost upuuzi wewe ndio ukikua utaacha acheni kumfatafata mondi hata ukimchukia hakusaidii pambana na hali yako
 
Kuna ubaya gan dai kumgonga hamisa?.. Huyo zari asitafute huruma kwa wananchi nae ni mchepuko tu coz ajaolewa na dai
 


Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…