Diamond tumhurumie tu bado mtoto na ushamba akikua ataacha , ataiga tabia za akina wizkid.

pambana na hali yako achana na hao watu
 
Alikiba hana kitu cha kuonyesha zaidi ya way aliyoweka kichwa... Nyumba yake haijakamiliki cjui toka mwaka gan... Ameshndwa kumbeba Abdul Kiba ndugu yake... Roho mbaya ndo maana haendelei... Baraka da Prince kamkimbia kaona yule jamaa ms...ng.
 
Hana budi kuwa inspire wasanii chipukizi kuwa mziki unalipa tofauti na wanavyofkir. Davido, Wizkid, Mond wanaonyesha walivyonavyo but Alikiba anasema hana hiyo hulka ha ha hah. Mange kaacha kumpa promo ya jimbo ya mslovekia walipokopy
 
 
Waswahili wacheni hizo. Mnazo hizi pesa? Alizonazo Mind au ............
 
Kwa kweli naunga mkono hoja hii. Yaani na alivyo muongo saaa,huyo demu wake kavujisha picha analala lala kama pono kwenye gari,kitandani halafu atudanganye one night stand mxiuuuuuuu zake. Yaani najipa break ya kuwa shabiki wake for a while
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…