pambana na hali yako achana na hao watuWakuu
Mond ni dhahiri ni mshamba akikua ataacha maana mmezoea oohh anaonewa wivu kwa kua kafanikiwa utahisi dunia nzima ni yeye Watu wana mkwanja mrefu lakini hawana dramma kama zake , ifikie hatua tumwache tusimseme akikua ataanza kubehave kama wizkid au ali kiba.
Asantee mkuu
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
safiii sanaa
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
Naona kupostiwa na Rozay watu inawamix mix kiaina... Utasikia ile ni fotoshopu
ohoooo
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
Wakuu
Mond ni dhahiri ni mshamba akikua ataacha maana mmezoea oohh anaonewa wivu kwa kua kafanikiwa utahisi dunia nzima ni yeye Watu wana mkwanja mrefu lakini hawana dramma kama zake , ifikie hatua tumwache tusimseme akikua ataanza kubehave kama wizkid au ali kiba.
Kiba anawaimbia waarabu wa Mombasa...sijui kama atabaki salamaSasa kiba ana hela gani?!
UmeonaWakifanya akina Ross ,cris ,lil Wayne tekno mnawasifia
Akifa diamond eti mshamba
Bongo jau sana