wameshasajili akina nani mkuu?bado hakuna msanii mkali labda kama bado wanaendelea kusajili
Jux,chid Benz,innos b me najua kwa sasa ni hao Ila bado wanaendelea na usajili.Zilipendwa na hawezi rudi ktk game yule
Utaki apewe msaada maana jamaa kamuomba Sana mondiHuyo Baba angepumzika tu jamani
Nyie watu nyie, haaaaa1 sasa unasema Marlow ni jembe na jamaa anajua sana, lakini KAMA atakuwa sign WASAFI halafu kaamua kuondoka mtasema Diamond ndio kamtambulisha Marlow kwenye muziki kama mlivyo msakama Konde boy, Diamond anaangalia fursa hana msaada kwa asie na kipaji.
[emoji3][emoji3][emoji3]Ingekuwa fiesta ndo wanasajili wasanii dzain ya marlaw ungeskia hilo povu,
Mara naskia banana zoro, mara asha baraka. Najiyliza mapovu ambavyo yangetolewa kama wangeenda fiesta
Kwa hiyo mondi alimchukua konde boy kwenye kijiwe cha kuosha magari akamfundisha kuimba eti eeeeh!?Andika mambo yanayoeleweka Basi mkuu,Ww unapingaje Kwamba Konde boy hajatambulishwa na kuibuliwa na Mond kwenye game ya muziki,wakati Konde Mwenyewe anakili hivyo??
Kweli we ni kichwa ngumu au labda mgeni kwenye game.... Harmonize was a reject na kila mtu anajua...tena watu walikua hadi wanamtukana Diamond kumsain dogo ambae hajuiKwa hiyo mondi alimchukua konde boy kwenye kijiwe cha kuosha magari akamfundisha kuimba eti eeeeh!?
jifariji tu.Kweli we ni kichwa ngumu au labda mgeni kwenye game.... Harmonize was a reject na kila mtu anajua...tena watu walikua hadi wanamtukana Diamond kumsain dogo ambae hajui
Nanini mkuu....jifariji tu.
Kichwa chako hakina akili. kimejaa upepo na kumbukumbu za kuvukia barabaraKwa hiyo mondi alimchukua konde boy kwenye kijiwe cha kuosha magari akamfundisha kuimba eti eeeeh!?