Kama mnakumbuka vizuri Diamond alikutana na Marlaw wakati Marlaw alienda kwenye Tamasha la Wasafi lilofanyika Tabora na kumuomba awe sehemu ya tamasha but hakumpa nafasi lakini kumbe lengo lake Diamond lilikuwa kumpa Marlaw hiyo nafasi Dar-es-Salaam na kweli kwenye Tamasha la Wasafi litakalofanyika tarehe 9 mwezi huu.
Wasafi wame-comfirm Marlaw atapanda jukwaani.
Diamond big up kwa kuliona hili jembe, jamaa ni fundi Sana.
Wasafi wame-comfirm Marlaw atapanda jukwaani.
Diamond big up kwa kuliona hili jembe, jamaa ni fundi Sana.