Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam...
Ukiacha Clouds FM na East Africa radio ambao hawachezi nyimbo za Wasafi lakini kwa sasa wameongezeka E-fm nao hawachezi nyimbo za wasanii wawa safi...
Bado najiuliza hivi Diamond ana wakosea nini hawa watu ambacho kina wafanya wamchukie yeye na group lake?
Clouds Fm kupitia Kusaga walitangaza kuanaza upya na kusahau yote na hivi karibuni wataanza kupiga nyimbo zao..
Radio one wako tofauti kabisa na EA radio ...Radio one wanacheza nyimbo zote za Wasafi.
Bado najiuliza kwanini wamiliki wengi wa radio wanachukia challenge? Kwanini msanii akiendelea kidogo wana lazimisha kila mtu amuone mbaya?
Watangazaji wa E-FM wakiongozwa na Gerald hando wanamchukia sana Diamond hadi wanaonesha wazi....kwenye vipindi...
Gerald hando hutumia hadi ukurasa wake wa insta kumtukana Diamond as if Diamond alimchukulia mke wake.....
Hivi E-FM Diamond amewakosea nini? Mbona amekuwa akiwasupport sana?
Bado na jiuliza Diamond umemkosea nini Majizo?
Ukiacha Clouds FM na East Africa radio ambao hawachezi nyimbo za Wasafi lakini kwa sasa wameongezeka E-fm nao hawachezi nyimbo za wasanii wawa safi...
Bado najiuliza hivi Diamond ana wakosea nini hawa watu ambacho kina wafanya wamchukie yeye na group lake?
Clouds Fm kupitia Kusaga walitangaza kuanaza upya na kusahau yote na hivi karibuni wataanza kupiga nyimbo zao..
Radio one wako tofauti kabisa na EA radio ...Radio one wanacheza nyimbo zote za Wasafi.
Bado najiuliza kwanini wamiliki wengi wa radio wanachukia challenge? Kwanini msanii akiendelea kidogo wana lazimisha kila mtu amuone mbaya?
Watangazaji wa E-FM wakiongozwa na Gerald hando wanamchukia sana Diamond hadi wanaonesha wazi....kwenye vipindi...
Gerald hando hutumia hadi ukurasa wake wa insta kumtukana Diamond as if Diamond alimchukulia mke wake.....
Hivi E-FM Diamond amewakosea nini? Mbona amekuwa akiwasupport sana?
Bado na jiuliza Diamond umemkosea nini Majizo?