Diamond unarudia kosa lile lile

Kajamaa haka utandale bado upo kichwani lakini hongera kwa hatua mondi
 
Tumpe heko anajitahidi kufikia levo flani kivyake,hata hii video ikitoka utaona RR karelax anachana mashairi yake kiungwana taratibu. Angalia ndugu yetu anavyoahangaika, yaani km vile yuko jukwaa la fiesta na RR.
Mziki hatujasikia labda inawezekana ni tangazo tu la kinywaji Be llaire.
 
mkuu mbona Rick Ross ndo alianza kupost hadi wimbo tena alikuwa studio ww hukuiona? hata ivyo Sallam ndo kiherere sn hii ilitakiwa iwe km suprise backage ila sio mbaya
 
Si mtoe video zenu ziwe surprise, acheni kuwapangia watu kazi zao.
 
Si mtoe video zenu ziwe surprise, acheni kuwapangia watu kazi zao.
tunaongea kama mashabiki ambao ndo tunamuweka mjini huyo Pimbi...mashabiki wa mpira wanapanga mpaka sub za wachezaji na ilhali wenyewe wapo ulaya huko na hata akili zao hawajui kama wana mashabiki Tanzania.
 
tunaongea kama mashabiki ambao ndo tunamuweka mjini huyo Pimbi...mashabiki wa mpira wanapanga mpaka sub za wachezaji na ilhali wenyewe wapo ulaya huko na hata akili zao hawajui kama wana mashabiki Tanzania.


Diamond ni [HASHTAG]#selfmade[/HASHTAG], we unamshabikia kwa vile kazi zake nzuri. Unamuweka mjini mtu unayemlipia kodi ya nyumba, lakini watu wengine wote wako mjini kwa kazi zao na mzunguko wa maisha. Ni sawa leo useme unamuweka mjini konda wa daladala kwa vile unalipa nauli, hiyo haimake sense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…