Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
Pcha tafadhar alizovujisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha aiseee[emoji38] [emoji38]So diamond yupo huko na Rick Ross wanatengeneza vedio...?
Mwengine yule yupo TUKUYU MBEYA kwa ajili ya Fiesta ana waseduce tuu wanakusya wa watu huko.
mkuu mbona Rick Ross ndo alianza kupost hadi wimbo tena alikuwa studio ww hukuiona? hata ivyo Sallam ndo kiherere sn hii ilitakiwa iwe km suprise backage ila sio mbayaDiamomd Mimi ni shabiki Wako Tena shabiki wako mkubwa! Nafurahishwa na Juhudi zako nafurahishwa na Utendaji kazi wako! Juhudi zako za kufanya Collabo na wasanii wakubwaa inanitia moyo na kunifurahisha kuona kuwa ni kijana mchapakazi
Nimeshtushwa Leo nilipo amka na kuona kwenye Mitandao ya kijamii video zako za video shooting na Rickross zimesambaaa sana! picha mlizo piga wakati wa kushoot video zimesambaa sanaa! Kwanini Diamond Kwanini unarudia kosa lile lile ulilo Fanya kwa Neyo? Hadi wimbo wako wa Marry you ukavujaa na ukakosa mvuto kwa watu? ule ni wimbo mkubwa sana kama ungeutoa kama ulivyo Toa HALLELUJAH! Japo video zako na Rickross ume mute lakini unatoa mwanya wa watu kutokuwa na attention na Wimbo wako
Vile Rickross kukupost tuu ilikuwa inatosha kilicho fuata ilikuwa ni wewe kuja kuachia official video ukiwa na yeye na sio hizi clipp! watu washaona umevaaje kwenye video rickross kavaaje na mengine mengi! sasa yote hiyo ya nini Jamani?
kwanini unarudia kosa lile lile ulilolifanya kwa Neyo? ur Big star huhitaji hizi clip kuja kuboost mziki wako kwa sasa wala wewe kufanya collabo na Rick rosse sio ajabu,Alishafanya na Kina P squre na ulifanya collabo na psqure ajabu nini wewe kufanya na Rickrosee?
tunaongea kama mashabiki ambao ndo tunamuweka mjini huyo Pimbi...mashabiki wa mpira wanapanga mpaka sub za wachezaji na ilhali wenyewe wapo ulaya huko na hata akili zao hawajui kama wana mashabiki Tanzania.Si mtoe video zenu ziwe surprise, acheni kuwapangia watu kazi zao.
tunaongea kama mashabiki ambao ndo tunamuweka mjini huyo Pimbi...mashabiki wa mpira wanapanga mpaka sub za wachezaji na ilhali wenyewe wapo ulaya huko na hata akili zao hawajui kama wana mashabiki Tanzania.
Kumbe sio Rick Ross huyo wa USA?Kumbe ameimba na Rick RossRaper....nilidhani ni yule wa USA..[emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115]