KAMUZUBERA
Senior Member
- May 9, 2017
- 194
- 154
Kwl kbsDiamond anajua muziki.
1)..Tatizo ni too much Show Off
2) Lifestyle yake (majivuno/dharau)
3) Drama kama bongo movie, wakati watu wanataka mziki sio drama.
4) producer mbovu....
haya ndio matatizo ya diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti katafute hela achana na maisha ya watu!D anamambo yakimama maana mi nashindwa kuelewa watu wanaposema anachukiwa kwaajili ya mafanikio ingekua hivo mo angechukiwa na wangapi???
Huyo ana uswahili mwingi lakini ali hana mda mwingi wa sho off za kijinga jinga afu zilipendwa hiwezi pigwa club na mtu akaenjoy ila seduce me ndo habari ya mjini katika club zote...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na aliyeanzisha hii thread mmeongea ukweli mtupu, sina hata cha kuongeza wala kupunguza. All in all Kiba sio msanii wa kulinganishwa na Diamond kwa kitu chochote kile labda jinsia tu. Diamond atabaki kuwa Diamond na Kiba atabaki kuwa Kiba.Kingine D mshaurini na yeye apunguze vijembe na nyodo kwa wasanii wenzake kwa mfano zile freestyle alizotoa juzi na kuwaponda kiba na ommy akijua atawaumiza kumbe ndio alikuwa anamtengenezea kiba kiki zaidi
Pia aache zarau kwa mashabiki zake cz kimsingi zari amekuwa akimfanya D aishi maisha ya nyodo na vijembe kwa mfano alipomtukana hamisa kwa kumuita bitch, kuwaita mashabiki "vichupi kunuka" ilimradi amfurahishe zari kumbe ndio anaongeza maadui
Namshauri d aache kumnufaisha kiba kwa hili bifu kwani alikiba ndio linamnufaisha na kumpa kiki zaidi
Kuhusu wasanii wa zamani kumchukia D hilo halina ubishi D anachukiwa kutokana na kufanikiwa zaidi alafu wanaomtabiria kuanguka kimziki wasidhani kwa sasa anategemea mziki tu now ana biashara zake nyingi tu na mikataba ya matangazo
Kingine nyimbo ya ceduce haina ukali wowote bali ni presha ya mashabiki tu na wenye chuki na d kuopromote kwa nguvu ili kumkomesha d lakini hamna kitu wala tusidanganyane hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu....Kingine D mshaurini na yeye apunguze vijembe na nyodo kwa wasanii wenzake kwa mfano zile freestyle alizotoa juzi na kuwaponda kiba na ommy akijua atawaumiza kumbe ndio alikuwa anamtengenezea kiba kiki zaidi
Pia aache zarau kwa mashabiki zake cz kimsingi zari amekuwa akimfanya D aishi maisha ya nyodo na vijembe kwa mfano alipomtukana hamisa kwa kumuita bitch, kuwaita mashabiki "vichupi kunuka" ilimradi amfurahishe zari kumbe ndio anaongeza maadui
Namshauri d aache kumnufaisha kiba kwa hili bifu kwani alikiba ndio linamnufaisha na kumpa kiki zaidi
Kuhusu wasanii wa zamani kumchukia D hilo halina ubishi D anachukiwa kutokana na kufanikiwa zaidi alafu wanaomtabiria kuanguka kimziki wasidhani kwa sasa anategemea mziki tu now ana biashara zake nyingi tu na mikataba ya matangazo
Kingine nyimbo ya ceduce haina ukali wowote bali ni presha ya mashabiki tu na wenye chuki na d kuopromote kwa nguvu ili kumkomesha d lakini hamna kitu wala tusidanganyane hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtoto wewe ulimshika hamisa miguu mpaka uwe na uhakika ni wa chibu.Kwa mafanikio gani mpaka watu wamuonee wivu, maisha ya show off?? Uswahili?? Dharau kwa mashabiki?? Kwahiyo asikosolewe kisa watu wanamuonea wivu , huyo ni nani labda mnaemuona Mungu mtu wenu, kuna wasanii wako vizuri kipesa kina Ay , jide Jay dee lkn watu waache wote hao waende kumchukia mond bila sababu?? Huyo diamond amelewa sifa mpaka amejisahau kwamba mashabiki ndo anaowategemea badala ya kuwaweka mashabiki karibu yake anawaweka mbali kwasababu ya matendo yake yasiyopendeza, majuzi kati aliwatukana mashabiki et "vichupi kunuka" eti kisa wamemsema sugar mamy wake, haya akaja akamtukana hamisa "bitch" tena mwanamke aliyemzalia mtoto, haya akatoka hapo akaibua upya beef lake na kiba na ommy kwenye wimbo wa fresh remix ..
HIVI KATIKA HAYO YOTE UNAWEZA KUWALAUMU MASHABIKI KWAMBA WANAMCHUKIA MOND?? AU WANAMUONEA WIVU?? HUONI KAMA YEYE PIA NI CHANZO??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mondi hana mshindan apa east afrikaWamuonee wivu kwa lipi?
Acheni kumtia ujinga
Mbona kuna room ya kutosha kwa kila mti
Kikubwa ni kupambana..... na asidhanie atakuwa on top siku zote
H
Mondi hana mshindan apa east afrika
Mimi nampenda diamond ila sipend anavyosafiria nyota ya nay wa mitego. Yaani kuimba na vijembe vya taarabu.Habari za jumatatu wanajamii.
Kiukweli mimi ni mshabiki mkubwa sana wa diamond tena shabiki wa dam. Nimejisikia vibaya sana kuona asilimia kubwa ya wasanii wanamchukia diamond na si kwasababu hajui mziki ila ni kwasababu ya mafanikio yake makubwa aliyoyapata Tz na nje.
Wasanii wengi wamekaa muda mrefu san kwenye GEMU na hawajapata mafanikio kama ya Diamond. Mfano angalia wimbo alotoa alikiba ambao hata adui namba moja wa diamond "mangekimambi" alikiri kitoelewa kiitikio na kuomba msaada wa kuelekezwa watu wakubwa na wasanii mbali mbali wameonekana kuupost sio kwa kuwa wameuependa ila ni kuonesha chuki za dhati kwa diamond ambae ametoa wimbo mkali kuliko zote mwaka huu.
Napenda kumshauri Mondi kuwa asikate tamaa na asonge mbele daima. Wako katika ujenz wa taifa .
Snitch2020
FactWewe na aliyeanzisha hii thread mmeongea ukweli mtupu, sina hata cha kuongeza wala kupunguza. All in all Kiba sio msanii wa kulinganishwa na Diamond kwa kitu chochote kile labda jinsia tu. Diamond atabaki kuwa Diamond na Kiba atabaki kuwa Kiba.
FactUmemaliza kila kitu....
Midia wanapiga zaid nyimbo ya Kiba ila mtaani watu wanadownload zaid nyimbo za Dai.......
Ofcoz mi nawakubali wote ila na mwona Dai akijituma na kutumia akili zaid......! Ata hivyo nais Dai na Kiba hawana uhadui uo inawezekana vyote vinavyotokea wanapanga ili wabaki juu kimziki maaana bila ya hivyo kuna kina Aslay, Beka wanatishia kushika uskani.!
Sent using Jamii Forums mobile app
ReallyDiamond anajua muziki.
1)..Tatizo ni too much Show Off
2) Lifestyle yake (majivuno/dharau)
3) Drama kama bongo movie, wakati watu wanataka mziki sio drama.
4) producer mbovu....
haya ndio matatizo ya diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app