Diamond, unatakiwa kujua kuwa wanakuonea wivu

Diamond, unatakiwa kujua kuwa wanakuonea wivu

D anamambo yakimama maana mi nashindwa kuelewa watu wanaposema anachukiwa kwaajili ya mafanikio ingekua hivo mo angechukiwa na wangapi???

Huyo ana uswahili mwingi lakini ali hana mda mwingi wa sho off za kijinga jinga afu zilipendwa hiwezi pigwa club na mtu akaenjoy ila seduce me ndo habari ya mjini katika club zote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D anamambo yakimama maana mi nashindwa kuelewa watu wanaposema anachukiwa kwaajili ya mafanikio ingekua hivo mo angechukiwa na wangapi???

Huyo ana uswahili mwingi lakini ali hana mda mwingi wa sho off za kijinga jinga afu zilipendwa hiwezi pigwa club na mtu akaenjoy ila seduce me ndo habari ya mjini katika club zote...

Sent using Jamii Forums mobile app
Binti katafute hela achana na maisha ya watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine D mshaurini na yeye apunguze vijembe na nyodo kwa wasanii wenzake kwa mfano zile freestyle alizotoa juzi na kuwaponda kiba na ommy akijua atawaumiza kumbe ndio alikuwa anamtengenezea kiba kiki zaidi

Pia aache zarau kwa mashabiki zake cz kimsingi zari amekuwa akimfanya D aishi maisha ya nyodo na vijembe kwa mfano alipomtukana hamisa kwa kumuita bitch, kuwaita mashabiki "vichupi kunuka" ilimradi amfurahishe zari kumbe ndio anaongeza maadui

Namshauri d aache kumnufaisha kiba kwa hili bifu kwani alikiba ndio linamnufaisha na kumpa kiki zaidi

Kuhusu wasanii wa zamani kumchukia D hilo halina ubishi D anachukiwa kutokana na kufanikiwa zaidi alafu wanaomtabiria kuanguka kimziki wasidhani kwa sasa anategemea mziki tu now ana biashara zake nyingi tu na mikataba ya matangazo

Kingine nyimbo ya ceduce haina ukali wowote bali ni presha ya mashabiki tu na wenye chuki na d kuopromote kwa nguvu ili kumkomesha d lakini hamna kitu wala tusidanganyane hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na aliyeanzisha hii thread mmeongea ukweli mtupu, sina hata cha kuongeza wala kupunguza. All in all Kiba sio msanii wa kulinganishwa na Diamond kwa kitu chochote kile labda jinsia tu. Diamond atabaki kuwa Diamond na Kiba atabaki kuwa Kiba.
 
Kingine D mshaurini na yeye apunguze vijembe na nyodo kwa wasanii wenzake kwa mfano zile freestyle alizotoa juzi na kuwaponda kiba na ommy akijua atawaumiza kumbe ndio alikuwa anamtengenezea kiba kiki zaidi

Pia aache zarau kwa mashabiki zake cz kimsingi zari amekuwa akimfanya D aishi maisha ya nyodo na vijembe kwa mfano alipomtukana hamisa kwa kumuita bitch, kuwaita mashabiki "vichupi kunuka" ilimradi amfurahishe zari kumbe ndio anaongeza maadui

Namshauri d aache kumnufaisha kiba kwa hili bifu kwani alikiba ndio linamnufaisha na kumpa kiki zaidi

Kuhusu wasanii wa zamani kumchukia D hilo halina ubishi D anachukiwa kutokana na kufanikiwa zaidi alafu wanaomtabiria kuanguka kimziki wasidhani kwa sasa anategemea mziki tu now ana biashara zake nyingi tu na mikataba ya matangazo

Kingine nyimbo ya ceduce haina ukali wowote bali ni presha ya mashabiki tu na wenye chuki na d kuopromote kwa nguvu ili kumkomesha d lakini hamna kitu wala tusidanganyane hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu....

Midia wanapiga zaid nyimbo ya Kiba ila mtaani watu wanadownload zaid nyimbo za Dai.......

Ofcoz mi nawakubali wote ila na mwona Dai akijituma na kutumia akili zaid......! Ata hivyo nais Dai na Kiba hawana uhadui uo inawezekana vyote vinavyotokea wanapanga ili wabaki juu kimziki maaana bila ya hivyo kuna kina Aslay, Beka wanatishia kushika uskani.!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii gari ya kiba haiwaki mpaka tusukume alafu eti tunasema ni mpya,zero km,bei mbaya,model 2017, vogue haitii mguu
Wakati tunaendelea kulisukuma kama kawaida yake dereva kiba katulia tu hata kushtua kwa kuachia clutch kwa ghafla anashindwa matokeo yake tunazidi kusukuma gari kwa umbali mrefu huku idadi ya tunaolisukuma gari ikizidi kupungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mafanikio gani mpaka watu wamuonee wivu, maisha ya show off?? Uswahili?? Dharau kwa mashabiki?? Kwahiyo asikosolewe kisa watu wanamuonea wivu , huyo ni nani labda mnaemuona Mungu mtu wenu, kuna wasanii wako vizuri kipesa kina Ay , jide Jay dee lkn watu waache wote hao waende kumchukia mond bila sababu?? Huyo diamond amelewa sifa mpaka amejisahau kwamba mashabiki ndo anaowategemea badala ya kuwaweka mashabiki karibu yake anawaweka mbali kwasababu ya matendo yake yasiyopendeza, majuzi kati aliwatukana mashabiki et "vichupi kunuka" eti kisa wamemsema sugar mamy wake, haya akaja akamtukana hamisa "bitch" tena mwanamke aliyemzalia mtoto, haya akatoka hapo akaibua upya beef lake na kiba na ommy kwenye wimbo wa fresh remix ..
HIVI KATIKA HAYO YOTE UNAWEZA KUWALAUMU MASHABIKI KWAMBA WANAMCHUKIA MOND?? AU WANAMUONEA WIVU?? HUONI KAMA YEYE PIA NI CHANZO??

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtoto wewe ulimshika hamisa miguu mpaka uwe na uhakika ni wa chibu.

Xmass Boy.
 
Mimi sina team....nafasi na mchango wa D kwenye Bongo Fleva unafahamika na hautokuja kutoweka kamwe....ila unachotakiwa kujua ni kwamba sio kila muda D akitoa nyimbo eti inabidi iwe no. 1....apo utakua umefeli....ukweli ni kwamba ngoma ya Kiba kwa sasa ndo no.1.....isssue hii ilitokea pia kipindi kile katoa Darassa ngoma ya Muziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jumatatu wanajamii.

Kiukweli mimi ni mshabiki mkubwa sana wa diamond tena shabiki wa dam. Nimejisikia vibaya sana kuona asilimia kubwa ya wasanii wanamchukia diamond na si kwasababu hajui mziki ila ni kwasababu ya mafanikio yake makubwa aliyoyapata Tz na nje.

Wasanii wengi wamekaa muda mrefu san kwenye GEMU na hawajapata mafanikio kama ya Diamond. Mfano angalia wimbo alotoa alikiba ambao hata adui namba moja wa diamond "mangekimambi" alikiri kitoelewa kiitikio na kuomba msaada wa kuelekezwa watu wakubwa na wasanii mbali mbali wameonekana kuupost sio kwa kuwa wameuependa ila ni kuonesha chuki za dhati kwa diamond ambae ametoa wimbo mkali kuliko zote mwaka huu.

Napenda kumshauri Mondi kuwa asikate tamaa na asonge mbele daima. Wako katika ujenz wa taifa .
Snitch2020
Mimi nampenda diamond ila sipend anavyosafiria nyota ya nay wa mitego. Yaani kuimba na vijembe vya taarabu.

Kama amefanikiwa sasa anataka nini kwenye kuimba imba wasanii wenzake ambao anajua wamefeli?

Cha mwisho ni kwamba sipendi tabia ya yeye kuja na copy za nyimbo za wasanii wa zamani.

Kama kweli ni msanii, aje na unique song kama zile za zamani. Mfano ni nyimbo yake ya ukimuona, mapenzi basi na my number one. Sio hizi zilipendwa copy za kina matonya

Kuwa msanii mkubwa kuna kazi yake. Na kazi yenyewe ni kutoa kitu cha tofauti.

Kwa wakati huu, nimemuelewa kiba sana maana kaja na kitu cha pekee. Huo ndo usanii mkubwa tunaotaka.

Nakupa mfano mdogo. Juzi kati kaomba remix ya nyimbo ya fid q fresh. Unajua kwanini? Kwasababu ni nyimbo iliyokuja kipekee. Yaani mpaka unavutiwa

Ni hayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza kila kitu....

Midia wanapiga zaid nyimbo ya Kiba ila mtaani watu wanadownload zaid nyimbo za Dai.......

Ofcoz mi nawakubali wote ila na mwona Dai akijituma na kutumia akili zaid......! Ata hivyo nais Dai na Kiba hawana uhadui uo inawezekana vyote vinavyotokea wanapanga ili wabaki juu kimziki maaana bila ya hivyo kuna kina Aslay, Beka wanatishia kushika uskani.!





Sent using Jamii Forums mobile app
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom