Diamond usije kujiroga kurudiana na Zari au kuja kumuoa huyo mwanamke, itakutokea puani

Inna Lilah wa INA Lilah Raajun...Unapata wapi ujasiri wa kuandika maneno mazito na yenye kuudhi kama haya..Wewe ni Great Thinker kweli?
 
Mtoa mada acha kuita watoto wa mwenzako mitoto. Umesema hamisa hajatoa siri una uhakika? Zile video zilizovujishwa ? Ulimsikia esma interview Yake kuhusu zari alivyokuwa ana m treat diamond? Mwanamke ni msafi wa nyumba na ku make sure diamond yupo sana kwa kila kitu. Watu wengi tuna judge kutokana na picha tu za insta ila ukweli wanaujua wao. Kwa nini suala p.a. umri kibongo bongo ni big deal.mmoja wa p square mke wake amemzidi umri .ila wenyewe wanaishi raha mustarehe. Diamond mwenyewe aliwahi kukiri zari hamuombi hela. Kikubwa sometimes wanaume hamjijui mnataka nini.ipo na kwa baadhi ya wanawake
 
Sawa kaka ake Hamisa
Naona ume shuka weee mwisho wa siku unakuja kumpigia chapuo dada yako basi sawa tushajua dhamira ya huu uzi
 
Unataka amuoe tena kama vile ujumbe wa kideo hautoshi au???
 
Huoni watu mapovu yanavowatoka kisa video tuu[emoji3] [emoji3] [emoji23] wamekua wajuaji kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti mtu wasirudiane kisa mwanamke mkubwa
Kwan wanavo kutana hawakujua hilo?
Nahama bongo kwa kweli
 
Mapenzi hayako utakavyo, na Diamond haoi kukufurahisha wewe. Mwacheni aishi maisha yake, kipendacho roho ni dawa.
 
Mwambie pia kwamba juzi Prince Harry kamuoa Meghan ambaye ananzidi umri...
 
Kwan Mohamed ndo nani naye si alikuwa binadam tu kama ww na mm?
Nafikiri katoa mfano wa Muhammad kwababu Diamond ni muislamu angelikuwa Diamond Mkiristo nadhani angelitoa mfano wa Yesu
 
Hakuna kipindi Dada yako Hamisa amepata wakati mgumu kama week hii... Kwanza Bashite akatangaza kunyakuliwa kwa baby daddy number one, na baada ya video ya Jana, atakua alilia siku mzima, maana baby daddy number two ndo basi tena...
 
kama wameweza kuzaa watoto wawili, utofauti wa miaka kumi ni nini kwao, its negligible bro!!. kama ww ni mwanume na Ukifanikiwa kuzaa na mwanamke ambaye amekuzidi umri yaani km umezaa na akina mama mdogo zako, wewe assume tu huyo ni saizi yako na ni mkeo. Yaani muwe mnabinuka vitandani kila siku na mzae na watoto, anajitokeze mtu aseme huyo sio saizi yake nadhani mtoa ushauri ndio atakuwa ana matatizo. Acha awe huru kuchagua ila asifanyie kazi ushauri wa kumlazimisha,,,,afanye tu pale anapoona inafaa kwake. Umri na mali za huyo mwanamke wala hazimpi shida, mbona hata cc huko kuna mda tunasaidiwa na hao viumbe kwa kiwango chetu, japo hujamuoa hhahaha (am cheating!).
Akae tu na huyo mama mdogo wake, alafu sura ya dada inaonyesha mstaarab...sijui amekumbwa na nini, hasira zikiwapanda wanawake....huwa sio binadamu wazuri. kwahiyo ajitahidi wasikwazane wawapo ndani na kwenye mishughuliko yao
 
Kwa hiyo na wao wamfananishe Alikiba na Yesu ambaye hakupenda show off!?.
Unakosea sana kuleta mtu wa heshima kama huyo kwenye mada za kijinga kama hizi!. Siyo vizuri kukashfu dini za wenzio mkuu!.
Mbona hata wew umekashifu,acheni kung'ang'ania dini zisizo zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…