Diamond usije kujiroga kurudiana na Zari au kuja kumuoa huyo mwanamke, itakutokea puani

Pumbavu. Weka sifa za mke wako hapa. Usheniz mtupu.

Eti demu mkali asiye n amtoto. Akili za kishenzi sana. Kwa hiyo kwako mtoto ni laana? Pumbvu kweli kweli.
Ma single mother mna hatari kama vile sisi ndio tuliwapa hizo mimba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi wabongo mnapata wapi muda na nguvu za kumchagulia mtu demu au mke ilihali wengi wenu mpo hohe hahe kwenye mahusiano.
Huu ni msiba mzito tena wanaume full kushika bango. Tunashushiana hadhi jamani[emoji35]
 
Mtume hafanananishwi bwana

Kwa nn asifananishwe wakati kazaliwa, kakua, kamuoa khadja kwa kufata kitonga kama vijana wa sasa wanavyofanya kukimbilia mijimama yenye hela ili iwalee, alikua anatamani Mizigo kama sisi, amekufa, hajafufuka wala nn. Yupo kaburini anasubiri hukumu siku ya mwisho kama ambavyo sisi tutasubiri hukumu siku tukifa. Huyo ni mtu tu kama ww.
 
Umri sio ishu mbona rais wa ufaransa Macron na mkewe Brigitte wamepishana miaka 25 yani mke 64 mume 39 na walioana mwaka 2007 kipindi hicho macron akiwa 29 na mkewe 54 na still mpaka Leo wapo pamoja. Na kwa kukukumbusha tu walianza relation kabla ya ndoa macron akiwa 15 mkewe akiwa 40. Kwahiyo age is just a number.
 
Pumbavu. Weka sifa za mke wako hapa. Usheniz mtupu.

Eti demu mkali asiye n amtoto. Akili za kishenzi sana. Kwa hiyo kwako mtoto ni laana? Pumbvu kweli kweli.
bora katoto ng'aa umeona yule mkubwa anavyomtazamaga mond kwa hasira
 
welevu tuliishia hapa kusoma huu uzi '' .....kama role model wako alikiba..............'' sasa huyo bwana ameoa au ameolewa
 
Mambo yao waachie wenyewe yasikuumize kichwa...


Kama huyo Zari kamfanyia hayo yote huyo jamaa hao wengine wamemfanyia nini zaidi ya kumpeleka mahakamani juu ya child support...


Cc: mahondaw
 
Babutale anauliza aende SA au asiende?

 
you are drunk
 
Haya bana mjinga mimi
 
Vita ni vita tu washee

 
Huu uzi ukiupitia wote huu kama ww ni mtu wa din bass hasira zitakupandaa tuuu
 
Upo sahihi Mtume Muhammad ni mtu kama sie lakini tofauti yetu ni kwamba yeye ana hadhi tofauti na yako na yangu...ni sawa sawa na rais wako wa nchi nyote ni watu lkn haulingani nae kihadhi...so heshimu hadhi yake na muweke katika cheo chake...halafu usifananishe mashairi ya mtume na muziki wako wa diamond.

Pia acha kupotosha, Mtume hajamfuata bi Khadija amuoe, ila bi Khadija ndiye aliyempenda Mtume na kumuomba mtume amuoe ndipo mtume akamuoa bi khadija tena Mahari alisaidiwa na huyo huyo bi khadija...usiongee mambo usiyokuwa na elimu nayo.
 
Mtume hafanananishwi bwana
Sio mtume wa hao wanaomfananisha! Kwa ni mtu wa kawaida tuu.
Mkuu hayo ya Mohamad naona ungeyaacha, unapotosha, najua ninchuki tu juu ya uislam na waislam.

"Useless broke nigga"
Hapana mkuu sina chuki na mtu wala dini ya mtu. Mimi ninasoma historia za watu mbali mbali. Na wewe soma pia kwa faida yako. Kwani hakumuuoa hadija na Aisha?
 
Sasa hapo umeonyesha kabisa mbinu za kijasusi za Bi hadija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…