Diamond usije kujiroga kurudiana na Zari au kuja kumuoa huyo mwanamke, itakutokea puani

Wewe ni mwarabu? Au mmakonde mwenzangu kujifanya unawajua saana waarabu
Acha ujinga kijana Waislam wote ndugu hatujibagui kwa rangi wala kabila km ww ww unavobagua ulitakiwa useme Mtanzania mwenzangu.
 
Labda unataka awe kama yule aliyekuwa anazunguka na kulala na vidume kumi na mbili sio.
Ndio maana maaskofu wa Kikatoliki wamerithi tabia.
 
Babu tale anajifanya koffi anani yetu macho, Zari rudi utukomeshee hawa mburukenge
 
Hapo umeweka chumvi nini? Mtoto wa miaka 9 ana utamu gani? Hapo si unabaka



Ungalimuuliza yule aliyekamatwa na kijana aliyeweka chupi begani baadaye akaitupa na kukimbia uchi huku akimwacha mamsap akitiwa pingu kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane
 
Kwa hiyo na wao wamfananishe Alikiba na Yesu ambaye hakupenda show off!?.
Unakosea sana kuleta mtu wa heshima kama huyo kwenye mada za kijinga kama hizi!. Siyo vizuri kukashfu dini za wenzio mkuu!.
Mbona na wwe umerudia makosa sasa.
 
Tupo bize na maisha ya daimond na wanawake zake.
 
Mtume alikua msanii tu, usinifananishe mm mtenda mema na mtu huyo. Huyo mm kanizidi ukorofi tu na kuchinja watu huku akiwadanganya uislam ni dini ya Mungu. Hadhi aliyokuanayo ni kwa wanadamu wasimjua Mungu wa kweli, Ila kwa Mungu wa Mbinguni anasubiri kuunguzwa siku ya mwisho kama wengine tu navyosubiri. Hivi kwann sikatae kumuoa Bi khadja hata kama alitongozwa. Hayo ndio mambo hata vijana wa leo wanapenda, utakuta mtoto mdogo anatongozwa na limama kisa linahela anakubali. Huoni kama hiyo mbegu ilipandwa na Muhammad.
 
Dini yako ni ipi mpuuzi wewe!?...
Sifanyi matendo maovu ya kumkera binadamu mwenzangu direct,sitaki kujua cha yesu wala Mohammad, mi naamin mungu na siyo kupitia watu(yesu na Mohammad)
 
Inamaana unamaanisha s.a.w alikua mwana bongo flava
 
Sifanyi matendo maovu ya kumkera binadamu mwenzangu direct,sitaki kujua cha yesu wala Mohammad, mi naamin mungu na siyo kupitia watu(yesu na Mohammad)
Huyo mungu unamwamini kwa reference zipi?..Unaweza penda safiri bila penda aina ya usafiri wa kutumia?.. Hata dini za kiafrika zinaamini miungu kupitia mti, jiwe, ng'ombe etc!.
You are simply mjinga ulietaka kujifanya mjuaji!.
 
diamond bora awachukue vinara wa hapa JF wale kina.......> reply
 
Ungem-dm insta ingependeza zaidi.
 
You are Wrong about age difference! Ingekuwa hivyo mjukuu wa Malkia Elizabeth Prince Harry asingeruhusiwa kumwoa Meghan ambaye amemzidi miaka 3. Ndoa ya kifahari iliyoonyeshwa Dunia nzima Princess to be 36, Prince 33. Mambo ya umri yako kwa walioshindwa ambao hutumia kigezo cha umri kudhalilisha washindani wao. Eti tusi mzee na mengineyo. Halafu usipende sana kudharau wanawake wanaowazidi waume zao umri. Mbona Machache hakupewa huu ushauri anaopewa Dai, Mugabe na wengineo. Diamond Zari anakufaa familia nzuri yenye kujiweza kila mmoja ana pesa yake ya kutosha.
 
Em tulieni watanzania...

Movie director yuko south...

Tulieni..

For a third episode.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…