fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
SEDUCE MAMA IKO WAPI MTAANI HUKUUkwaiyo unataka kusema tunguli za diamond zimeisha nguvu?
Haya ni maoni ya rafiki yangu Benson Tembo ambayo nakubaliana nayo kwa 100%.
____________________________________
Ali Kiba na Diamond ni sawa na sukari na chumvi au chumvi na sukari, (vyovyote utakavyoamua kuiweka).Yaani namaanisha kuwa hawa watu wawili wana ladha zinazotofautiana ambazo zote ni tamu na muhimu kutegemeana tu na mazingira na wakati.
Wakati wa asubuhi ukihitaji kunywa chai, utahitaji sukari kwaajili ya kunogesha chai yako, ukiweka chumvi kwenye chai unaharibu na hautafurahia chai yako. Na katika mazingira hayo unaweza ukadhani kuwa chumvi haina maana.
Ngoja ufike wakati wa chakula cha mchana utakapohitaji kula ugali na nyama, hapo ndipo utakapouona umuhimu na utamu wa chumvi. Wakati huo hautahitaji sukari, kuweka sukari kwenye nyama ni kuharibu kabisa utamu wa nyama.
Kwahiyo kuipenda sukari hakukuzuii kuipenda chumvi kwasababu chumvi haiwezi kuwa mbadala wa sukari na wala sukari haiwezi kuwa mbadala wa chumvi. Kumbe pia, Ali Kiba hawezi kuwa mbadala wa Diamond na Diamond naye hawezi kuwa mbadala wa Ali Kiba kutokana na ukweli kwamba wote wawili wana ladha tamu lakini zenyekutofautiana vionjo.
Hivyo kuzipenda kazi za Diamond hakukuzuii kuzipenda kazi za Ali Kiba na kinyume chake. Kwa wapenzi wa muziki mzuri hawawezi kuwa Team Kiba au Team Mond, wao watasimama katikati wakisubiria muziki mzuri bila Kujali umetoka kwa nani.
[HASHTAG]#MyTAKE[/HASHTAG]:
Falsafa yangu ya maisha na ambayo haitabadilika siku zote ni kuwa SIAMINI KUPANDA NGAZI KWA KUMSHUSHA MWINGINE. Hilo siamini na siwezi kufanya hivyo. Napenda nyimbo za Kiba lakini pia napenda baadhi ya nyimbo za Diamond. Kwenye gari yangu na hata nyumbani nacheza nyimbo za Kiba na za Diamond.
Naamini katika ustawi wa wote wawili. Siamini kwamba ili mmoja anawiri inabidi mwingine afutike. No. Never. Kama ambavyo siamini kufilisi matajiri ndio kutafanya maskini kuwa matajiri, ndivyo ambavyo siamini kwamba kumshusha Kiba/Diamond ndio kutafanya mmoja wapo awe msanii mzuri. Maskini hawezi kuwa tajiri kwa kumchukia tajiri. Kumchukia Kiba hakumfanyi Diamond kuwa bora, wala kumchukia Diamond hakumfanyi Kiba kuwa bora.
Kwangu mimi wote ni wazuri, wote ni mahiri, wote wanafanya muziki mzuri. Imani yangu ni kuwa wote wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila mmoja kulazimisha kumshusha mwezie.
Simba haihitaji kuishusha Yanga daraja ili iwe timu bora, wala Yanga haihitaji kuishusha Simba ili iwe timu bora. Never. Ushindani ni muhimu, lakini ushindani mzuri ni wenye staha, wenye ubunifu, wenye bidii. Sio huu ushindani unaoendelea huku mitandaoni wa matusi, kashfa, kejeli na mipasho. Huo si usishani, ni uhuni.
Watu wanaojitambua wanapenda muziki mzuri wa Kiba, lakini hawaachi kupenda muziki mzuri wa Diamond (and the vice versa). Ila kwa wasiojitambua ili wampende Kiba watamtukana Diamond, na ili wampende Diamond watamtukana Kiba.
Eti wanajiita timu Kiba na Team Diamond. Hivi kumbe TZ kuna watu wanamiliki timu? Kina Abramovich wanaomiliki Chelsea wasemeje, kama wewe una kasimu ka mchina na unatoa mapovu kwamba una timu?
Achana na timu za kijinga. Timu bora ni kufanya kazi kwa bidii kwa maslahi yako, familia yako na taifa lako. Diamond akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Kiba akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Habari za timu waachie kina Haji Manara na Masau Bwire.!
Hii inawahusu wapenda good music nikiwa mmoja wapo bila kujali na kuweka timu zetu.Haya ni maoni ya rafiki yangu Benson Tembo ambayo nakubaliana nayo kwa 100%.
____________________________________
Ali Kiba na Diamond ni sawa na sukari na chumvi au chumvi na sukari, (vyovyote utakavyoamua kuiweka).Yaani namaanisha kuwa hawa watu wawili wana ladha zinazotofautiana ambazo zote ni tamu na muhimu kutegemeana tu na mazingira na wakati.
Wakati wa asubuhi ukihitaji kunywa chai, utahitaji sukari kwaajili ya kunogesha chai yako, ukiweka chumvi kwenye chai unaharibu na hautafurahia chai yako. Na katika mazingira hayo unaweza ukadhani kuwa chumvi haina maana.
Ngoja ufike wakati wa chakula cha mchana utakapohitaji kula ugali na nyama, hapo ndipo utakapouona umuhimu na utamu wa chumvi. Wakati huo hautahitaji sukari, kuweka sukari kwenye nyama ni kuharibu kabisa utamu wa nyama.
Kwahiyo kuipenda sukari hakukuzuii kuipenda chumvi kwasababu chumvi haiwezi kuwa mbadala wa sukari na wala sukari haiwezi kuwa mbadala wa chumvi. Kumbe pia, Ali Kiba hawezi kuwa mbadala wa Diamond na Diamond naye hawezi kuwa mbadala wa Ali Kiba kutokana na ukweli kwamba wote wawili wana ladha tamu lakini zenyekutofautiana vionjo.
Hivyo kuzipenda kazi za Diamond hakukuzuii kuzipenda kazi za Ali Kiba na kinyume chake. Kwa wapenzi wa muziki mzuri hawawezi kuwa Team Kiba au Team Mond, wao watasimama katikati wakisubiria muziki mzuri bila Kujali umetoka kwa nani.
[HASHTAG]#MyTAKE[/HASHTAG]:
Falsafa yangu ya maisha na ambayo haitabadilika siku zote ni kuwa SIAMINI KUPANDA NGAZI KWA KUMSHUSHA MWINGINE. Hilo siamini na siwezi kufanya hivyo. Napenda nyimbo za Kiba lakini pia napenda baadhi ya nyimbo za Diamond. Kwenye gari yangu na hata nyumbani nacheza nyimbo za Kiba na za Diamond.
Naamini katika ustawi wa wote wawili. Siamini kwamba ili mmoja anawiri inabidi mwingine afutike. No. Never. Kama ambavyo siamini kufilisi matajiri ndio kutafanya maskini kuwa matajiri, ndivyo ambavyo siamini kwamba kumshusha Kiba/Diamond ndio kutafanya mmoja wapo awe msanii mzuri. Maskini hawezi kuwa tajiri kwa kumchukia tajiri. Kumchukia Kiba hakumfanyi Diamond kuwa bora, wala kumchukia Diamond hakumfanyi Kiba kuwa bora.
Kwangu mimi wote ni wazuri, wote ni mahiri, wote wanafanya muziki mzuri. Imani yangu ni kuwa wote wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila mmoja kulazimisha kumshusha mwezie.
Simba haihitaji kuishusha Yanga daraja ili iwe timu bora, wala Yanga haihitaji kuishusha Simba ili iwe timu bora. Never. Ushindani ni muhimu, lakini ushindani mzuri ni wenye staha, wenye ubunifu, wenye bidii. Sio huu ushindani unaoendelea huku mitandaoni wa matusi, kashfa, kejeli na mipasho. Huo si usishani, ni uhuni.
Watu wanaojitambua wanapenda muziki mzuri wa Kiba, lakini hawaachi kupenda muziki mzuri wa Diamond (and the vice versa). Ila kwa wasiojitambua ili wampende Kiba watamtukana Diamond, na ili wampende Diamond watamtukana Kiba.
Eti wanajiita timu Kiba na Team Diamond. Hivi kumbe TZ kuna watu wanamiliki timu? Kina Abramovich wanaomiliki Chelsea wasemeje, kama wewe una kasimu ka mchina na unatoa mapovu kwamba una timu?
Achana na timu za kijinga. Timu bora ni kufanya kazi kwa bidii kwa maslahi yako, familia yako na taifa lako. Diamond akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Kiba akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Habari za timu waachie kina Haji Manara na Masau Bwire.!
Haya ni maoni ya rafiki yangu Benson Tembo ambayo nakubaliana nayo kwa 100%.
____________________________________
Ali Kiba na Diamond ni sawa na sukari na chumvi au chumvi na sukari, (vyovyote utakavyoamua kuiweka).Yaani namaanisha kuwa hawa watu wawili wana ladha zinazotofautiana ambazo zote ni tamu na muhimu kutegemeana tu na mazingira na wakati.
Wakati wa asubuhi ukihitaji kunywa chai, utahitaji sukari kwaajili ya kunogesha chai yako, ukiweka chumvi kwenye chai unaharibu na hautafurahia chai yako. Na katika mazingira hayo unaweza ukadhani kuwa chumvi haina maana.
Ngoja ufike wakati wa chakula cha mchana utakapohitaji kula ugali na nyama, hapo ndipo utakapouona umuhimu na utamu wa chumvi. Wakati huo hautahitaji sukari, kuweka sukari kwenye nyama ni kuharibu kabisa utamu wa nyama.
Kwahiyo kuipenda sukari hakukuzuii kuipenda chumvi kwasababu chumvi haiwezi kuwa mbadala wa sukari na wala sukari haiwezi kuwa mbadala wa chumvi. Kumbe pia, Ali Kiba hawezi kuwa mbadala wa Diamond na Diamond naye hawezi kuwa mbadala wa Ali Kiba kutokana na ukweli kwamba wote wawili wana ladha tamu lakini zenyekutofautiana vionjo.
Hivyo kuzipenda kazi za Diamond hakukuzuii kuzipenda kazi za Ali Kiba na kinyume chake. Kwa wapenzi wa muziki mzuri hawawezi kuwa Team Kiba au Team Mond, wao watasimama katikati wakisubiria muziki mzuri bila Kujali umetoka kwa nani.
[HASHTAG]#MyTAKE[/HASHTAG]:
Falsafa yangu ya maisha na ambayo haitabadilika siku zote ni kuwa SIAMINI KUPANDA NGAZI KWA KUMSHUSHA MWINGINE. Hilo siamini na siwezi kufanya hivyo. Napenda nyimbo za Kiba lakini pia napenda baadhi ya nyimbo za Diamond. Kwenye gari yangu na hata nyumbani nacheza nyimbo za Kiba na za Diamond.
Naamini katika ustawi wa wote wawili. Siamini kwamba ili mmoja anawiri inabidi mwingine afutike. No. Never. Kama ambavyo siamini kufilisi matajiri ndio kutafanya maskini kuwa matajiri, ndivyo ambavyo siamini kwamba kumshusha Kiba/Diamond ndio kutafanya mmoja wapo awe msanii mzuri. Maskini hawezi kuwa tajiri kwa kumchukia tajiri. Kumchukia Kiba hakumfanyi Diamond kuwa bora, wala kumchukia Diamond hakumfanyi Kiba kuwa bora.
Kwangu mimi wote ni wazuri, wote ni mahiri, wote wanafanya muziki mzuri. Imani yangu ni kuwa wote wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila mmoja kulazimisha kumshusha mwezie.
Simba haihitaji kuishusha Yanga daraja ili iwe timu bora, wala Yanga haihitaji kuishusha Simba ili iwe timu bora. Never. Ushindani ni muhimu, lakini ushindani mzuri ni wenye staha, wenye ubunifu, wenye bidii. Sio huu ushindani unaoendelea huku mitandaoni wa matusi, kashfa, kejeli na mipasho. Huo si usishani, ni uhuni.
Watu wanaojitambua wanapenda muziki mzuri wa Kiba, lakini hawaachi kupenda muziki mzuri wa Diamond (and the vice versa). Ila kwa wasiojitambua ili wampende Kiba watamtukana Diamond, na ili wampende Diamond watamtukana Kiba.
Eti wanajiita timu Kiba na Team Diamond. Hivi kumbe TZ kuna watu wanamiliki timu? Kina Abramovich wanaomiliki Chelsea wasemeje, kama wewe una kasimu ka mchina na unatoa mapovu kwamba una timu?
Achana na timu za kijinga. Timu bora ni kufanya kazi kwa bidii kwa maslahi yako, familia yako na taifa lako. Diamond akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Kiba akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Habari za timu waachie kina Haji Manara na Masau Bwire.!
kumbe kumkosoa alie kossa ni ushabiki?Hapa tayari umeanza ushabiki maandazi.
Utakuwa hujui muziki. Unaendeshwa na mihemko ya ushabiki.
Ukimtaja mondi ktk swala music huwezi kumwacha meneja wake kama tulivyowaya Kiba na mondi hatukosi kuzizungumzia timu ZAO ila wewe ushabiki ndio uliokusukuma kulaumuMbona maelezo yako yapo straight kabisa. Kwanini ulaumu babu tale!? Wakati tunaongelea music!?
Ali kiba na Diamond ni watu wawili tofauti. Kila mmoja anaradha yake ya music.
Wewe jamaa utakuwa pacha wangu. Hizo ngoma 2 za Mond hunambii kitu! Na siamini kama ipo siku ntakuja kupenda nyimbo ya Mond zaidi ya hizo 2!mimi naupenda nyimbo 'ukimwona' na 'kesho' sana.. lakini namkubali kiba zaidi ya diamond
Umeongea maneno mengi ila kuna vitu vya muhimu umeviacha.... inawezekana umeviacha kwa makusudi au kwa bahati mbaya..... ukiangalia wazi kabisa jambo ulilongea sina uhakika ni muhimu kwamba team zife ila kimantiki haiwezekani.... kwa sababu ili yawepo maendeleo ya kitu flani lazima kiwepo kitu ambacho kinapinga....(ili iwepo motion lazima iwepo na frictional force kwa Wanasayansi washaelewa...) na kitu ambacho kitaonyesha upinzani ni watu ambao wanasapoti kile kitu.... Nahisi itakuwa umesahau....NAKUOMBA UKITULIA UUFAFANUE KAULI HII "ili ufanikiwe unahitaji marafiki na ili ufanikiwe zaidi unahitaji...... " halafu tafakari....Haya ni maoni ya rafiki yangu Benson Tembo ambayo nakubaliana nayo kwa 100%.
____________________________________
Ali Kiba na Diamond ni sawa na sukari na chumvi au chumvi na sukari, (vyovyote utakavyoamua kuiweka).Yaani namaanisha kuwa hawa watu wawili wana ladha zinazotofautiana ambazo zote ni tamu na muhimu kutegemeana tu na mazingira na wakati.
Wakati wa asubuhi ukihitaji kunywa chai, utahitaji sukari kwaajili ya kunogesha chai yako, ukiweka chumvi kwenye chai unaharibu na hautafurahia chai yako. Na katika mazingira hayo unaweza ukadhani kuwa chumvi haina maana.
Ngoja ufike wakati wa chakula cha mchana utakapohitaji kula ugali na nyama, hapo ndipo utakapouona umuhimu na utamu wa chumvi. Wakati huo hautahitaji sukari, kuweka sukari kwenye nyama ni kuharibu kabisa utamu wa nyama.
Kwahiyo kuipenda sukari hakukuzuii kuipenda chumvi kwasababu chumvi haiwezi kuwa mbadala wa sukari na wala sukari haiwezi kuwa mbadala wa chumvi. Kumbe pia, Ali Kiba hawezi kuwa mbadala wa Diamond na Diamond naye hawezi kuwa mbadala wa Ali Kiba kutokana na ukweli kwamba wote wawili wana ladha tamu lakini zenyekutofautiana vionjo.
Hivyo kuzipenda kazi za Diamond hakukuzuii kuzipenda kazi za Ali Kiba na kinyume chake. Kwa wapenzi wa muziki mzuri hawawezi kuwa Team Kiba au Team Mond, wao watasimama katikati wakisubiria muziki mzuri bila Kujali umetoka kwa nani.
[HASHTAG]#MyTAKE[/HASHTAG]:
Falsafa yangu ya maisha na ambayo haitabadilika siku zote ni kuwa SIAMINI KUPANDA NGAZI KWA KUMSHUSHA MWINGINE. Hilo siamini na siwezi kufanya hivyo. Napenda nyimbo za Kiba lakini pia napenda baadhi ya nyimbo za Diamond. Kwenye gari yangu na hata nyumbani nacheza nyimbo za Kiba na za Diamond.
Naamini katika ustawi wa wote wawili. Siamini kwamba ili mmoja anawiri inabidi mwingine afutike. No. Never. Kama ambavyo siamini kufilisi matajiri ndio kutafanya maskini kuwa matajiri, ndivyo ambavyo siamini kwamba kumshusha Kiba/Diamond ndio kutafanya mmoja wapo awe msanii mzuri. Maskini hawezi kuwa tajiri kwa kumchukia tajiri. Kumchukia Kiba hakumfanyi Diamond kuwa bora, wala kumchukia Diamond hakumfanyi Kiba kuwa bora.
Kwangu mimi wote ni wazuri, wote ni mahiri, wote wanafanya muziki mzuri. Imani yangu ni kuwa wote wanaweza kuendelea kufanya vizuri bila mmoja kulazimisha kumshusha mwezie.
Simba haihitaji kuishusha Yanga daraja ili iwe timu bora, wala Yanga haihitaji kuishusha Simba ili iwe timu bora. Never. Ushindani ni muhimu, lakini ushindani mzuri ni wenye staha, wenye ubunifu, wenye bidii. Sio huu ushindani unaoendelea huku mitandaoni wa matusi, kashfa, kejeli na mipasho. Huo si usishani, ni uhuni.
Watu wanaojitambua wanapenda muziki mzuri wa Kiba, lakini hawaachi kupenda muziki mzuri wa Diamond (and the vice versa). Ila kwa wasiojitambua ili wampende Kiba watamtukana Diamond, na ili wampende Diamond watamtukana Kiba.
Eti wanajiita timu Kiba na Team Diamond. Hivi kumbe TZ kuna watu wanamiliki timu? Kina Abramovich wanaomiliki Chelsea wasemeje, kama wewe una kasimu ka mchina na unatoa mapovu kwamba una timu?
Achana na timu za kijinga. Timu bora ni kufanya kazi kwa bidii kwa maslahi yako, familia yako na taifa lako. Diamond akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Kiba akitoa wimbo mzuri burudika, enjoy. Habari za timu waachie kina Haji Manara na Masau Bwire.!
Mwanaume kupenda kucheka Cheka ni dalili mbaya sanaYa siasa yamewashinda.. sasa mnakimbilia kutafuta kiki kupitia wanamuziki.. mie yangu macho na kucheka.. eeeeh
Heshima kwa lipi?Ila Kiba mpaka hapa alipofika inabidi ampe heshima yake Diamond, japokuwa yeye alianza kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ni mtu wa kupuuzwa kama CCMSEDUCE MAMA IKO WAPI MTAANI HUKUU
BINADAMU WABAYA JAMANI,MMEMSHIKA MKONO KUPOFU ALI KIBA
MMEMUACHA NJIA PANDA HAJUI AFANYEJE
MNATAKIWA KILA SIKU MFANYE KAMA MLIVYO FANYA JMOS
WALAU HATA MPIGE KIDOGO HUKU MTAANI AMBAPO KILA KONA ZILIPENDWA
Sasa ule si ndiyo type za kama nyimbo ya "zilipendwa" halafu kipindi kile kulikuwa hakuna team hivyo Kiba alikuwa anatamba tu,kwa sasa Kiba hawezi tena kutoa nyimbo kama ile.Wewe jamaa utakuwa pacha wangu. Hizo ngoma 2 za Mond hunambii kitu! Na siamini kama ipo siku ntakuja kupenda nyimbo ya Mond zaidi ya hizo 2!
Napenda pia nyimbo za Kiba. Na zipo baadhi najua kabisa hapa Kiba kazingua, mf mpk leo sijaelewa Kiba alitaka kusema nini ktk MSINISEME, ule anaosema anapenda kula!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana,kama sasa hivi unaweza kuwapenda waliyokuwa wana ccm ni rahisi kuja kuipenda ccm yenyewe.yaani mimi niwe ukawa halafu niipende ccm??Naanzaje kwa mfano???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
natania wakuu