Diamond v/s Kiba


Kaka post zako nyingi umu umekuwa ukiongelea sana ushirikina,nimefatlia ata lile sakata lako la kukataa mtoto. Vipi wewe ni mchawi?
 
Ingia youtube angalia interview ya kiba kipindi anataka kutoa mwana zen urudi apa......iyo interview in maneno makali sana ya kumponda mond lkn watu hujisfany kama hawajawai kuisikia......wabongo wengi wetu wanafiki sana tunapenda kulalia upande mmoja na kuna kitu nisha kinoti....ikitokea msanii anamudiss mond watu wengi hufurahi sana hat ukifatilia iyo interview ya alikiba na sporah watu wengi walimsifi san kib.....lakin mondi akijibu inakuwa tatzo na inakuzwa san.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni shauri nyinyi watu wa siasa haya mambo ya mziki mya ache kma hamuyaoni
 
Mara nyingi huww nipo tofauti na wewe. Leo umeongea point ya maana sana. Kwa hili nakubaliana na wewe 100%.
Team zitafanya mziki ufe.
Team haziuwi mziki Mkuu...

Kumbuka hizi team ndo zilimrejesha Kiba ktk game... Angesha potea mudaa...
 
Kaka post zako nyingi umu umekuwa ukiongelea sana ushirikina,nimefatlia ata lile sakata lako la kukataa mtoto. Vipi wewe ni mchawi?
Acha uongo, mm namzidi mshana Jr!!! Halaf sakata la kumkataa mtoto umelifuatilia vp wakati hata mm mwenyewe cjui!!! Na linahusiana vp na ushirikina unaoulalamikia ww??? Mi c mchaw, lkn muombe Mungu sana aweze kukupa macho ya rohoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshindwa kuelewa kaka.... me nimekwambia kwenye nyimbo na sio kwenye interview... kwenye interview Originality yake uchochezi au kikwazo na haswa km kuna competition na kitu unachokifanya.... ili interview iwe nzuri na muandishi aweze kuuza habari yake lazima kuwe na kubezana na lazima akulize maswali ya uchochezi...... hata km hutaki atakuliza maswali na utaingia mwenyewe kwenye line mwenyewe..... ww ukiwekewa interview muandishi anaweza kukuachanisha na mtu wako wa karibu....reality hiyo kaka....
So jaribu kuangalia interviw kama interview na nyimbo km nyimbo.... Me napenda kutumia mifano ili nieleweke vyema.... " Muangalie Harmorapa anafanya vizuri tuu kwenye mziki kiasi chake lkn ukija kwenye interview daily anaburunga...." nyimbo ina maandalizi mazuri na makusudio haswa ya mtu kufanya jambo.... ila interview ni maswali ya papo kwa papo.... sijui nikufahamishe vp uelewe.... Labda nikulize swali.... "ushawahi kufanya interview ya kazi...?" Ukijibu hilo swali lako litakuwa tyr lishajijibu.....
Karibu tn.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…